Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department. Naamini Maisha ni hatua tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi
Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department
"Naamini Maisha ni hatua
tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi
Be careful pia..kwani crdb kuna watu wengi wanafanya internship na wanatabia ya kuchukua interns wao katika interview.Kwa hiyo kitakachotokea be careful ingawa I wish you the best.
Be careful pia..kwani crdb kuna watu wengi wanafanya internship na wanatabia ya kuchukua interns wao katika interview.Kwa hiyo kitakachotokea be careful ingawa I wish you the best.