Nimeitwa interview UDOM lakini sitaenda...

Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii

pale kuna watu wengi tayari wameshahonga toka cku nyingi wachukuliwe mzee, kuna jamaa wako kwa ajili ya hiyo kazi. wanatuzuga tu hao.unatoa hela ndio upate kazi, tafuta watu wa pale umpe hela unapata kazi mkuu. kuna jamaa ukiwapa kitu kama laki 5 au 1m wanakupigia dili. hata mwaka jana ilikuwa hivo hivo. no more, ni wizi mtupu!........................................................................................................
 
Hata mimi sitaenda wameniita assistant accounts
ila nimeshaona mizinguo na kichuo chao hiko uswahili+utoto mtupu unaoendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom