Nimeitwa Discussion!

Nimeitwa Discussion!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
IMG-20170317-WA0016.jpg
 
Siku hizo ukinunua TV kufunga antenna ni kazi kama kazi nyingine, niliitwa kwenda kumfungia bidada mmoja Tv na antenna yake (installation).

Nagonga mlango najibiwa nipite mlango uko wazi. Hamaaad nakuta kalala sampuli kama hiyo na kijimtandio, sikumbuki vizuri kama nilimrukia au nilimdandia au vipi, ila nakumbuka mpaka jioni nilikuwa hoi, tatu kama bolo yeung
 
Siku hizo ukinunua TV kufunga antenna ni kazi kama kazi nyingine, niliitwa kwenda kumfungia bidada mmoja Tv na antenna yake (installation).

Nagonga mlango najibiwa nipite mlango uko wazi. Hamaaad nakuta kalala sampuli kama hiyo na kijimtandio, sikumbuki vizuri kama nilimrukia au nilimdandia au vipi, ila nakumbuka mpaka jioni nilikuwa hoi, tatu kama bolo yeung
Loooh
 
Siku hizo ukinunua TV kufunga antenna ni kazi kama kazi nyingine, niliitwa kwenda kumfungia bidada mmoja Tv na antenna yake (installation).

Nagonga mlango najibiwa nipite mlango uko wazi. Hamaaad nakuta kalala sampuli kama hiyo na kijimtandio, sikumbuki vizuri kama nilimrukia au nilimdandia au vipi, ila nakumbuka mpaka jioni nilikuwa hoi, tatu kama bolo yeung
Balaaa ...
 
Yaani eeh aah nimepata kigugumizi cha gafla.
 
hahaha umenikumbusha mbali kidogo aiseee..hizi mambo ya discussion bhana
 
Discussion za hivi zilinipa wakati mgumu sana
 
Back
Top Bottom