The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Jamaa mmoja alikuwa anawapigia stori ya uongo wenzie jinsi alivomkimbiza swala mpaka akamkamata,alipofika sehemu amemshikia chini mara simu ikaita akaongea kama dk 5 akawa amejisahau wapi alipoishia,akauliza niliishia wapi? Wakamjibu umemshikia chini,akaendelea basi nikamvua nguo wenzie huku wakicheka sana wakamuuliza halafu ikawaje? Akajibu nikafanya nae mapenzi,wakamwambia aaaah kaka si swala acha uongo,akasema basi nikamchuna