Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Hayo Maneno bei gani hiyo Chief?
£19,995
Hayo Maneno bei gani hiyo Chief?
kumbe aliandikaAlisema anachunga Ng'ombe baadae aka Edit sijui lengo lake ni nini.
Kwanza mtu mwenye 800M bank hana muda wa kuandika verses
Nimeenda fasta kuichomoa LIKE yangu kwenye thread yake. Mamamamamae sana huyu fala....View attachment 1777336
kwenye uzi wako huu mwingine unasema
1. Una degree ya uhasibu
2. Umeajiriwa kwenye taasisi wa kimataifa
halafu uzi wako wa leo unasema
1. Umesomea agricultural science
2. Ulifanya kazi kwenye kampuni
Hizo chai za JF za moto sana
Yeah kazi ni mingi na wahindi ambao ndo cheap labor wamepigwa ban kuingia ..wee andaa Kama M2 tu utafika na pa kulala utapata. Ci unajua mwakani world cup hukuKwanini wanafanya hivyo ..? Inaelekea wanahitaji sana vibarua na nguvu kazi?
Jumla gharama mpaka kufika huko ulitumia kama kiasi gani Tzs?
Nimeenda fasta kuichomoa LIKE yangu kwenye thread yake. Mamamamamae sana huyu fala....
mkuu unanipa motisha sana..!Yeah kazi ni mingi na wahindi ambao ndo cheap labor wamepigwa ban kuingia ..wee andaa Kama M2 tu utafika na pa kulala utapata. Ci unajua mwakani world cup huku
Milioni 36 na upuzi za KE halafu nichukue kirikuu, hahaha, chai ya moto isiyo sukari, dadeq! 🤣 🤣 🤣 🤣Kumuamini huyo inabidi uwe mwehu kidizaini,mmiliki wa kirikuu mwny mil.800 😂😂😂😂😂
Mimi ni mmoja watu ninaoamini hapa duniani hakuna nchi nzuri Kama Ireland(republic of Ireland), hii nchi ni nzuri Sana sijawahi kuona.
Nilienda Ireland kwenye masomo(baada ya kupata scholarship).
Nilipomaliza tu form 6 mwezi February 2008 nikaanza kufanya mishe za kutafuta scholarship, na hatimaye matokeo yalipotoka mwezi wa 5 nilipata bahati ya kwenda Ireland kimasomo na hakika nilitumia vyema nafasi hiyo. Matokeo ya advance yalinibeba.
Nilienda kusoma Agricultural Science
Baada ya kumaliza masomo niliingia mtaani, nilikuwa nishajiandaa nikimaliza nibaki huko hivyo kila kitu nilikuwa nimekiweka sawa.
Kutoka Knyama hadi Ireland haikuwa ngumu kwangu kutoboa kwani nilikuwa nafanya Sana kazi za hapa na pale.
Baada ya miaka 7 niliona matunda ya Kazi zangu, na hivyo hatimaye kurejea nyumbani mwanzoni mwa mwaka 2018. Nikiwa na uhakika wa $350,000 bank.
Huku TZ nilipata kazi kwenye taasisi fulani hivi kubwa, lakini sikuwa na malengo Sana ya kufanya kazi ya kuajiriwa ikiwa tayari nina capital ya kutosha Sana.
Baada ya muda nikiwa kwenye hii taasisi nikaona ni vyema Sasa nikafikiria kuoa, niliwahi pia kuja kuweka tangazo huku jf lakini nasikitika sikupata Mtu sahihi, sikupendezwa nao karibu wote walionitafuta.
Nilifanya kazi kwenye hii kampuni kwa mwaka mmoja nika-resign, na hivyo nikaendelea kuwekeza kwenye kilimo na Sasa ni mmoja wa watu wanaofanya vizuri Sana kwenye kilimo Cha zabibu. Nimeweka mtaji mkubwa kwenye kilimo hiki na faida inaonekana Sana.
Nilichogundua kule ni kwenda kuchuma alafu unarudi bongo kuwekeza, itakulipa Sana.
Assume unarudi na kama million 800, alafu unatumia mil 100 kuwekeza kwenye kilimo, hapo utasahau maisha yote ya Dublin.
Siku moja nitarudi Dublin kutembea na sio kuishi, maisha ni ghali sana ya wenzetu. Kama yangekuwa sio ghali ningerudi bongo na pesa nyingi zaidi. Ila pia inategemea na wewe utaamua kuishi vipi.
Wito kwa watanzania wenzangu mnapoenda kuchuma huko Europe nawaomba mrudi Bongo kuwekeza, miaka 10 inatosha Sana
tena K.Okuna watu watapigwa hapa.
Kaveli, sorry nimechelewa kuona msg yako. Niliifunga sijui nifanyeje ili upewe access, au mimi ndio nikutext?Hili picha ni bongo muvi. Sterling kajipaka chillsosi usoni ili tuone kapigana sana kumkabili adui.
Afu sisy pm yako umetia bonge la kufuli!
-Kaveli-
ChaiKwenye huu Uzi Natafuta Mke, Kwa aliye Serious Naomba Tuwasiliane ulisema umesomea Shahada ya Uhasibu
Na kwenye huu Uzi unasema umesomea Shahada ya Agriculture
Sprinter ni wapi mkuu? Hali ya biashara hiyo iko vipu?Kwa pesa uliyonayo na shughuli za kulima zabibu, Sprinter inakufaa boss.
View attachment 1778640
View attachment 1778641
Namkumbuka Dr. Shika, sijui yuko wapiBaada ya miaka 7 niliona matunda ya Kazi zangu, na hivyo hatimaye kurejea nyumbani mwanzoni mwa mwaka 2018. Nikiwa na uhakika wa $350,000 bank.
Huku TZ nilipata kazi kwenye taasisi fulani hivi kubwa, lakini sikuwa na malengo Sana ya kufanya kazi ya kuajiriwa ikiwa tayari nina capital ya kutosha Sana.
Alafu hiyo harrier kaiweka ya niniKwenye huu Uzi Natafuta Mke, Kwa aliye Serious Naomba Tuwasiliane ulisema umesomea Shahada ya Uhasibu
Na kwenye huu Uzi unasema umesomea Shahada ya Agriculture
Big Up Man yaan kiwekeza katika Kilimo Brother u made it napenda sana niwekeze katika kilimoMimi ni mmoja watu ninaoamini hapa duniani hakuna nchi nzuri Kama Ireland(republic of Ireland), hii nchi ni nzuri Sana sijawahi kuona.
Nilienda Ireland kwenye masomo(baada ya kupata scholarship).
Nilipomaliza tu form 6 mwezi February 2008 nikaanza kufanya mishe za kutafuta scholarship, na hatimaye matokeo yalipotoka mwezi wa 5 nilipata bahati ya kwenda Ireland kimasomo na hakika nilitumia vyema nafasi hiyo. Matokeo ya advance yalinibeba.
Nilienda kusoma Agricultural Science
Baada ya kumaliza masomo niliingia mtaani, nilikuwa nishajiandaa nikimaliza nibaki huko hivyo kila kitu nilikuwa nimekiweka sawa.
Kutoka Knyama hadi Ireland haikuwa ngumu kwangu kutoboa kwani nilikuwa nafanya Sana kazi za hapa na pale.
Baada ya miaka 7 niliona matunda ya Kazi zangu, na hivyo hatimaye kurejea nyumbani mwanzoni mwa mwaka 2018. Nikiwa na uhakika wa $350,000 bank.
Huku TZ nilipata kazi kwenye taasisi fulani hivi kubwa, lakini sikuwa na malengo Sana ya kufanya kazi ya kuajiriwa ikiwa tayari nina capital ya kutosha Sana.
Baada ya muda nikiwa kwenye hii taasisi nikaona ni vyema Sasa nikafikiria kuoa, niliwahi pia kuja kuweka tangazo huku jf lakini nasikitika sikupata Mtu sahihi, sikupendezwa nao karibu wote walionitafuta.
Nilifanya kazi kwenye hii kampuni kwa mwaka mmoja nika-resign, na hivyo nikaendelea kuwekeza kwenye kilimo na Sasa ni mmoja wa watu wanaofanya vizuri Sana kwenye kilimo Cha zabibu. Nimeweka mtaji mkubwa kwenye kilimo hiki na faida inaonekana Sana.
Nilichogundua kule ni kwenda kuchuma alafu unarudi bongo kuwekeza, itakulipa Sana.
Assume unarudi na kama million 800, alafu unatumia mil 100 kuwekeza kwenye kilimo, hapo utasahau maisha yote ya Dublin.
Siku moja nitarudi Dublin kutembea na sio kuishi, maisha ni ghali sana ya wenzetu. Kama yangekuwa sio ghali ningerudi bongo na pesa nyingi zaidi. Ila pia inategemea na wewe utaamua kuishi vipi.
Wito kwa watanzania wenzangu mnapoenda kuchuma huko Europe nawaomba mrudi Bongo kuwekeza, miaka 10 inatosha Sana