Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Siku za hivi karibuni nimekuwa na furaha tu.... yaani kila nikiangalia hekaheka za CCM. Nilichokipenda zaidi ni ile hali ya familia moja kwa na wasemaji kibao yaani wote wana ndevu kuanzia Baba hadi watoto.
Kila mtu ana la kusema kwenye vyombo vya habari, kila mtu ana uwezo wa kuchagua mgombea, kla mtu ana uwezo wa kumhukumu mwenzie, mara huyu ni mzigo, mara huyu ni kiroba mara huyu ametumwa....bassssi raha tupu.
Honegereni CCM. mlijisahau kidogo mkaelekeza nguvu zenu kwenye mgogoro usiowahusu!
Baada ya Paul Makonda, Msindai, Nape, Mwigulu, Mangula kuongea na media kutoa matamko sasa ni Mgeja, Huyu nadhani atamkandia Malecela ambae aliongea juzi na Jana Ntwara nako wakatoa matamko kwa Niaba ya CCM chama sikivu. Guess who is next baada ya Mgeja? Probably ni mwenyekiti mwenyewe atakapoitisha Media pale Mbeya kesho na Lowasa akiitisha media Dar
Kila mtu ana la kusema kwenye vyombo vya habari, kila mtu ana uwezo wa kuchagua mgombea, kla mtu ana uwezo wa kumhukumu mwenzie, mara huyu ni mzigo, mara huyu ni kiroba mara huyu ametumwa....bassssi raha tupu.
Honegereni CCM. mlijisahau kidogo mkaelekeza nguvu zenu kwenye mgogoro usiowahusu!
Baada ya Paul Makonda, Msindai, Nape, Mwigulu, Mangula kuongea na media kutoa matamko sasa ni Mgeja, Huyu nadhani atamkandia Malecela ambae aliongea juzi na Jana Ntwara nako wakatoa matamko kwa Niaba ya CCM chama sikivu. Guess who is next baada ya Mgeja? Probably ni mwenyekiti mwenyewe atakapoitisha Media pale Mbeya kesho na Lowasa akiitisha media Dar