Nakuona kwenye hiyo meza ya duaraahsante mkuu...............
Mie bado napata Mbuzi choma huku kwa Morombooo
nimekupanulia zote
Sidhani kama ni shule pasee!mkuu hebu toa hiyo shule ya kupanua picha
mkuu hebu toa hiyo shule ya kupanua picha
Aisee baba_angu, yaani unauliza kitimoto tena saa hii...!? Yesu na Maria...Wapi kitimoto?
Sijui hapa inaenda na ratio gani ya BEEEEEEEEERMtambuzi ndio mliagiza hii yote.....aisee mate yamenitoka....ngoja nijipange na mimi nikatembelee hayo maeneo
Thats coolnimejaribu kupanua hapa
Halafu wewe unatafutwa kule chit chat..
duh mkuu mnafaidi utafanya nizue safari ya huko bila kupenda