Nimeikuta sehemu

Kwanini hapana?
1. Huyo mwenzio ana watu anataniana nao, kuna matani huwa yanaonyesha watu wana mahusiano ya kimapenzi ingawa hapana, UTAWEZA KUTOFAUTISHA KWAMBA HUU NI UKWELI AUA LA?

2. Kuingia kwenye mahusiano, haimaanisha huyo mtu hana private life.

3. Kwanini simu pekee? Kama una maanisha basi siku nyingine mwaume avae sidiria ya mkewe au mpenzi wake..!!

BY THE WAY, USIMCHUNGUZE MTU AMBAYE KUMUACHA HUWEZI
 
kagua at your own risk

siwezi shika simu ya mtu mzima mwenye meno 32 nikakagua na hata akiniachia bahati mbaya ikiwa haiko locked ntamsaidia kuilock unless niwe na nnalolitafuta na wanasega

mwana kulifind mwanakuliget
 
eti avae sidiria
 
sasa 'access' ya nini, kucheza game?
Ndiyo

Kuna kucheza game

Kupiga picha kali,labda mmoja wenu ana simu ina camera nzuri

Kuna kuitumia kupiga simu kwa watu wa muhimu mfano wazazi
Wengine kuunga bando la dakika ni kipengele

Kuna kuitumia kuperuzi mtandaoni..maybe mmoja bando lomekata
Hivyo anaaccess simu ya mwenzie nakujihotspot ama kuitumia direct.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…