pole yetu tena? Si unajua mahawala hawa achani!! Muda wowote ukitaka kupasha kiporo mwapashana tu. Pole zaidi ni kwa husband materials wana kazi ya ziada ya kufanya.
Wengine ukichukua namba tu,hata mama yake humjui utasikia pah mama anaumwa hela za matibabu zinahitajika...sawa tu jamani dada zetu tunawapenda ila maisha ya ujanja ujana yanawapenda sana
Wengine ukichukua namba tu,hata mama yake humjui utasikia pah mama anaumwa hela za matibabu zinahitajika...sawa tu jamani dada zetu tunawapenda ila maisha ya ujanja ujana yanawapenda sana