Nimeichukia Taarabu ya kisasa

Nimeichukia Taarabu ya kisasa

Hivi ujio wa disco chakacha kwenye miaka ya themanini haukuwa chanzo cha mabadiliko ya muziki wa taarabu? Nadhani kule ndiyo mashoga walianza kujionyesha waziwazi na hatimae disco chakacha ilipofifia mashoga wakahamia kwenye taarabu ambako nako walianza kubadilisha aina ya uimbaji, upigaji wa vyombo na uchezaji wake hadi kufikia hapa tulipo hivi leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom