pale polisi kuna menuHivi ndugu zangu ni njia gani naweza kuitrack na kuipata Ila sikuiweka pass word na siifahamu imei namba
Msaada tafadhali
Mwanzo ungefanya hiviView attachment 790111Hivi ndugu zangu ni njia gani naweza kuitrack na kuipata Ila sikuiweka pass word na siifahamu imei namba
Msaada tafadhali
Pole..Hivi ndugu zangu ni njia gani naweza kuitrack na kuipata Ila sikuiweka pass word na siifahamu imei namba
Msaada tafadhali
Hapana mkuu kna app inaitwa find Device ile iko pwa sana cha kufnya hapo atafute smart nyngne apakue hyo aplication halaf ataingiza imail yke na pasword baada ya hapo itamletea smart zote ambazo zna imail yke na wakat huohuo itamuonyesha mahal hzo sm zipo na akitaka imei yke atatouch tu hlo jina la hyo sm ilyopotea itamlete imei na wakat huohuo inakuambia kuwa iko sehem gan na pia unaweza kufata had karbu kwa kufata raman inapokuwa imekuonyesha kadr unavyosogea ndivyo inazd kukuonyesha na ikiwa umesogea kabsa bas utabonyeza alam yy kule sm itaanza kuita kama amepigiwa vile ina maanxha ww utakuwa unamcheza wap inaitaPole..
Hakuna namna hasa kama hujui imei yake kwa sababu imei ndo pekee ingeweza kuitrack simu na kujua ilipo
Ukipoteza IPhone mbona utafunga barabara.
daah! ila mtu chake mkuu.Hiyo option inapatikana wapi?
Hiyo zaman kidgo..saiz google hawaonyeshi imei yako..ile option haipo tena..Hapana mkuu kna app inaitwa find Device ile iko pwa sana cha kufnya hapo atafute smart nyngne apakue hyo aplication halaf ataingiza imail yke na pasword baada ya hapo itamletea smart zote ambazo zna imail yke na wakat huohuo itamuonyesha mahal hzo sm zipo na akitaka imei yke atatouch tu hlo jina la hyo sm ilyopotea itamlete imei na wakat huohuo inakuambia kuwa iko sehem gan na pia unaweza kufata had karbu kwa kufata raman inapokuwa imekuonyesha kadr unavyosogea ndivyo inazd kukuonyesha na ikiwa umesogea kabsa bas utabonyeza alam yy kule sm itaanza kuita kama amepigiwa vile ina maanxha ww utakuwa unamcheza wap inaita
Anhaa sawaHapana mkuu kna app inaitwa find Device ile iko pwa sana cha kufnya hapo atafute smart nyngne apakue hyo aplication halaf ataingiza imail yke na pasword baada ya hapo itamletea smart zote ambazo zna imail yke na wakat huohuo itamuonyesha mahal hzo sm zipo na akitaka imei yke atatouch tu hlo jina la hyo sm ilyopotea itamlete imei na wakat huohuo inakuambia kuwa iko sehem gan na pia unaweza kufata had karbu kwa kufata raman inapokuwa imekuonyesha kadr unavyosogea ndivyo inazd kukuonyesha na ikiwa umesogea kabsa bas utabonyeza alam yy kule sm itaanza kuita kama amepigiwa vile ina maanxha ww utakuwa unamcheza wap inaita
Nyie ndiyo mnalea wezi. Adhabu ya mwizi ni kifo au kilema cha maishaKila mt anakula kwa jasho muache jamaa apate hela
Mwizi ni mwizi tu. Uweke nywila usiweke yy anapita nayoMpaka hapo mwizi hana kosa...
Kosa unalo wewe kutokuweka nywila kwenye simu yako...
Ngoja aanze kurusha zile picha zake zileeee...
Cc: mahondaw
Hata iphone ukiiacha loose wanaiba tu wanakwenda kuuza kama skirepa,wanauza kioo,wanauza battery mashine wanatupa kulewakpmeshe nunua iphone
shukrani mkuuNi simple mkuu ingia kwenye account yako ya google uliyo kuwa unatumia kwenye simu iliyo potea kuna option ya kuchek device utaiona Tecno yako ipo na imei chukua imei peleka polisi kafungue kesi then utapewa mpelelezi wa kuisimamia kesi yako ambae atashirikiana na mtandao ambao ulikuwa unautumia kama ni voda au mwingine...hapo wakicheki imei watakuta inatumika na laini nyingine mtamkamata kama kuku mwizi wako.