Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,079
Wakuu nimeibiwa kasimu kangu ka kupangusa aina ya huawei.
Nifanyeje ili kafungwe kasitumike tena kabisa au nikapate?
Ninazo imei namba zake.
Msaada please
Nifanyeje ili kafungwe kasitumike tena kabisa au nikapate?
Ninazo imei namba zake.
Msaada please