Nimeibiwa simu nataka kuitrack

Nimeibiwa simu nataka kuitrack

Nenda polisi. Watu pekee wanaweza kuikatamata simu ni polisi ila angalia cost benefit analysis, gharama ya kuitafta na kununua mpya hiyo tecno gharama ya kuitafta inaweza kua kubwa.

Nunua mpya tu mkuu.
 
Back
Top Bottom