Ulikuwa wapi wakati wanaibiwa?Wakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili kmmk
Labda usingizi mkuuUlikuwa wapi wakati wanaibiwa?
Cc Accumen Mo darcity ndugu za hawa majitu wezi sanaWakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili kmmk
Panda basi mpaka Sumbawanga. Ukifika panda Costa hadi Namanyere, ukifika uliza mtaa wa Nkomolo kwa Mzeee Mwanawima. Hapo utakua tayari una zana za Watesi wako Wachape Radi ya Afu tatu tuuu ya kubomoa nyumba zao na mali zao. Wataaanza kukutafuta wenyewe kulipa Ng'ombe wakoWakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili kmmk
Sasa hako si kadawa kadogo sana, akikibinua kinu akakiweka mlangoni radi hazimpati ngo!Panda basi mpaka Sumbawanga. Ukifika panda Costa hadi Namanyere, ukifika uliza mtaa wa Nkomolo kwa Mzeee Mwanawima. Hapo utakua tayari una zana za Watesi wako Wachape Radi ya Afu tatu tuuu ya kubomoa nyumba zao na mali zao. Wataaanza kukutafuta wenyewe kulipa Ng'ombe wako
Jidanganyeee.....Sasa hako si kadawa kadogo sana, akikibinua kinu akakiweka mlangoni radi hazimpati ngo!