Nimeibiwa na 'pisi kali'

xavieen

Senior Member
Jan 29, 2021
136
547
Wakuu leo mtoto wa mjini nmeingizwa mjini

Huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida.

Niliiendelea kumscan pale badae kuna mhuni nlimwagiza akanichukulie namba,demu aligoma akidai kama nataka namba nikachukue mwenyew hawagawi namba ovyo ovyo.

Nilijivuta vuta kama nataka kama sitaki vile ili asinione nna shobo .
nilimpa salam akaitikia tuu fresh tukapiga piga story kdgo badae nikaomba na akanipa japo alikataa mara kadhaa.

Baada ya sherehe kuisha tulianza kuwasiliana,nilichogundua demu alikuw smart sana kupangilia point alaf pia hakuwa na papara nikagundua huyu hajakulia uswahilini.

Tuliwasiliana takriban kama mwezi ivi siku moja nikampanga aje GETHO kuniona mi lengo ikiwa n kumchakata ,alikataa akadai anakaz bas atakuja next week,(aliitamka next week kama vile hana meno)

SIKU YA TUKIO

Nilimchek akajibu anajiandaa aje,hapo hapo baharia nilibadilika nikafanya usafi hadi simu niliisafisha,hatimae text iliingia "ongea na bodaboda umwelekeze ",asee hii ilinivuruga hadi bodaboda akanambia bro mbona maelezo mengi usijal namleta.

Alifika nikampeleka getho tukaanza story akili yote nikawaza namna ya kumtoa kwenye kiti na kumhamishia kitandani(mabaharia naomben msamaha hapa nilifeli)

Kumbe demu na yy wa mjinii alielewa nataka nini akasema tulia nimekuja kwa ajil yako.

Wakati tunapiga story alionekana mtu anayechat kwa kuibia ibia nikahisi huenda kuna watu wanamchek anawazuga tuu.

Nilimpapasa kidogo akaicha simu kwenye kiti tukasimama nikaacha kucheza na code zinazotoa DAWASCO hakuchukua round akaomba twende kitandan.

Chapchap nikatoa ndomu kwenye kabat nikavaa nilimshugulikia kiukweli ukweli miwshon akaigiza kama amelegea sana (kumbe mtego mi sijui) alianza kuhema kwa shida akaniomba nikamletee maji makubwa ya barid sana(hapa ndo nilikosea )nilitoka speed kama upepo ,kitendo cha kutoka na kurud nakuta demu hayupo.kuangalia vizur LAPTOP haipo sijakaaa sawa kuchek wallet ilikuw na 150k nikakuta 10k tuu.nilipagawa.

JANA TUKAKUTANA KANISANI

Nilishtuka sana nikajiuliza hvi ni yeye kweli au ,kwa dharau ya upole akanisalimia "bwana yesu asifiwe"
niliwaza nimchape vibao waumini watanirukia,nikisema nimshtak atanishinda tuu.
 
Aiseee ata kumchapa makofi ulishindwa jamaa iyo pisi imekudharau sana nafkr ilkua ishajua ww ni mwanaume wa aina gani yaani uwezi kumfanya chochote mbele ya kadamnasi dadek
 
wakuu leo mtoto wa mjini nmeingizwa mjini

huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida.


niliiendelea kumscan pale badae kuna mhuni nlimwagiza akanichukulie namba,demu aligoma akidai kama nataka namba nikachukue mwenyew hawagawi namba ovyo ovyo.


nilijivuta vuta kama nataka kama sitaki vile ili asinione nna shobo .
nilimpa salam akaitikia tuu fresh tukapiga piga story kdgo badae nikaomba na akanipa japo alikataa mara kadhaa.


baada ya sherehe kuisha tulianza kuwasiliana,nilichogundua demu alikuw smart sana kupangilia point alaf pia hakuwa na papara nikagundua huyu hajakulia uswahilini.

tuliwasiliana takriban kama mwezi ivi siku moja nikampanga aje GETHO kuniona mi lengo ikiwa n kumchakata ,alikataa akadai anakaz bas atakuja next week,(aliitamka next week kama vile hana meno)

SIKU YA TUKIO

nilimchek akajibu anajiandaa aje,hapo hapo baharia nilibadilika nikafanya usafi hadi simu niliisafisha,hatimae text iliingia "ongea na bodaboda umwelekeze ",asee hii ilinivuruga hadi bodaboda akanambia bro mbona maelezo mengi usijal namleta.


alifika nikampeleka getho tukaanza story akili yote nikawaza namna ya kumtoa kwenye kiti na kumhamishia kitandani(mabaharia naomben msamaha hapa nilifeli)

kumbe demu na yy wa mjinii alielewa nataka nini akasema tulia nimekuja kwa ajil yako.

wakati tunapiga story alionekana mtu anayechat kwa kuibia ibia nikahisi huenda kuna watu wanamchek anawazuga tuu.

nilimpapasa kidogo akaicha simu kwenye kiti tukasimama nikaacha kucheza na code zinazotoa DAWASCO hakuchukua round akaomba twende kitandan.

chapchap nikatoa ndomu kwenye kabat nikavaa nilimshugulikia kiukweli ukweli miwshon akaigiza kama amelegea sana (kumbe mtego mi sijui) alianza kuhema kwa shida akaniomba nikamletee maji makubwa ya barid sana(hapa ndo nilikosea )nilitoka speed kama upepo ,kitendo cha kutoka na kurud nakuta demu hayupo.kuangalia vizur LAPTOP haipo sijakaaa sawa kuchek wallet ilikuw na 150k nikakuta 10k tuu.nilipagawa.

JANA TUKAKUTANA KANISANI

nilishtuka sana nikajiuliza hvi ni yeye kweli au ,kwa dharau ya upole akanisalimia "bwana yesu asifiwe"
niliwaza nimchape vibao waumini watanirukia,nikisema nimshtak atanishinda tuu.
Story inaendelea mkuu? , maana kama imeishia kati kati vile
Au nasema uongo ndugu zangu
 
Hahahaha pole Sana,tengeneza urafiki nae jifanye Kama umepotezea alaf mkamue na wewe kwa mazingira utakayotengeneza Bila ya yeye kufahamu unataka kumpiga kitu gani.
 
Hahahaha pole Sana,tengeneza urafiki nae jifanye Kama umepotezea alaf mkamue na wewe kwa mazingira utakayotengeneza Bila ya yeye kufahamu unataka kumpiga kitu gani.
Kuna jamaa yangu alilala na pisi kali ikampiga ela ikamwachia jero, ikaondoka na iphone 11, pia halafu kumbe ikampiga na pcha akiwa uchi tena ikiwa imekaa pembeni yake.
Jamaa alipoanza itishia ikamwambia itazituma kwa mke wake😂😂😂 akawa mpole. Ikabidi asemehe kuibiwa aendelee nayo tu😂
 
Huyo mchezeeni mchezo jamaa ajifanye amtongoze ampeleke ghetto au hata lodge hakikisha mnampa jamaa wenu vitu vya thamani akiingia lodge au ghetto nyie mnakua mmejificha mnambana mdomo na mikono mnampiga mitungo huku mnamrikodi halafu sura zenu hakikisha hazionekani


Baada ya hapo mnamziba na kitambaa cha madawa...compound za chloroform ndo nzuri akizima mnamuacha guest akikisha mkitoka na kuingia asishtuke mtu na tukio fanyeni usiku ili asubuhi aamkie.hapohapo msifanye mchana mtajenga suspision kuhisiwa kama ni ghetto mtoe kamtupe mtaroni asiwe na pochi muibien kila kitu pembeni yake lazeni chupa za bia safisha ghetto kutoa ushahidi...mpake. Mdomoni na pombe nyengine mmwagien kwenye shati kama mnabangi vuteni mpulizien usoni nyengine muekeen kwenye mfuko kama anayo kipis

Hii.itasaidia.kutengeneza scenerio ya tukio maana akishtuka asubuhi mtaani au akishtuliwa na kundi la watu ataonekana mlevi pombe zimemzidia


Hio ni njia ya kwanza ...


Zipo nyingi za kumkomesha
 
Back
Top Bottom