xavieen
Senior Member
- Jan 29, 2021
- 136
- 547
Wakuu leo mtoto wa mjini nmeingizwa mjini
Huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida.
Niliiendelea kumscan pale badae kuna mhuni nlimwagiza akanichukulie namba,demu aligoma akidai kama nataka namba nikachukue mwenyew hawagawi namba ovyo ovyo.
Nilijivuta vuta kama nataka kama sitaki vile ili asinione nna shobo .
nilimpa salam akaitikia tuu fresh tukapiga piga story kdgo badae nikaomba na akanipa japo alikataa mara kadhaa.
Baada ya sherehe kuisha tulianza kuwasiliana,nilichogundua demu alikuw smart sana kupangilia point alaf pia hakuwa na papara nikagundua huyu hajakulia uswahilini.
Tuliwasiliana takriban kama mwezi ivi siku moja nikampanga aje GETHO kuniona mi lengo ikiwa n kumchakata ,alikataa akadai anakaz bas atakuja next week,(aliitamka next week kama vile hana meno)
SIKU YA TUKIO
Nilimchek akajibu anajiandaa aje,hapo hapo baharia nilibadilika nikafanya usafi hadi simu niliisafisha,hatimae text iliingia "ongea na bodaboda umwelekeze ",asee hii ilinivuruga hadi bodaboda akanambia bro mbona maelezo mengi usijal namleta.
Alifika nikampeleka getho tukaanza story akili yote nikawaza namna ya kumtoa kwenye kiti na kumhamishia kitandani(mabaharia naomben msamaha hapa nilifeli)
Kumbe demu na yy wa mjinii alielewa nataka nini akasema tulia nimekuja kwa ajil yako.
Wakati tunapiga story alionekana mtu anayechat kwa kuibia ibia nikahisi huenda kuna watu wanamchek anawazuga tuu.
Nilimpapasa kidogo akaicha simu kwenye kiti tukasimama nikaacha kucheza na code zinazotoa DAWASCO hakuchukua round akaomba twende kitandan.
Chapchap nikatoa ndomu kwenye kabat nikavaa nilimshugulikia kiukweli ukweli miwshon akaigiza kama amelegea sana (kumbe mtego mi sijui) alianza kuhema kwa shida akaniomba nikamletee maji makubwa ya barid sana(hapa ndo nilikosea )nilitoka speed kama upepo ,kitendo cha kutoka na kurud nakuta demu hayupo.kuangalia vizur LAPTOP haipo sijakaaa sawa kuchek wallet ilikuw na 150k nikakuta 10k tuu.nilipagawa.
JANA TUKAKUTANA KANISANI
Nilishtuka sana nikajiuliza hvi ni yeye kweli au ,kwa dharau ya upole akanisalimia "bwana yesu asifiwe"
niliwaza nimchape vibao waumini watanirukia,nikisema nimshtak atanishinda tuu.
Huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida.
Niliiendelea kumscan pale badae kuna mhuni nlimwagiza akanichukulie namba,demu aligoma akidai kama nataka namba nikachukue mwenyew hawagawi namba ovyo ovyo.
Nilijivuta vuta kama nataka kama sitaki vile ili asinione nna shobo .
nilimpa salam akaitikia tuu fresh tukapiga piga story kdgo badae nikaomba na akanipa japo alikataa mara kadhaa.
Baada ya sherehe kuisha tulianza kuwasiliana,nilichogundua demu alikuw smart sana kupangilia point alaf pia hakuwa na papara nikagundua huyu hajakulia uswahilini.
Tuliwasiliana takriban kama mwezi ivi siku moja nikampanga aje GETHO kuniona mi lengo ikiwa n kumchakata ,alikataa akadai anakaz bas atakuja next week,(aliitamka next week kama vile hana meno)
SIKU YA TUKIO
Nilimchek akajibu anajiandaa aje,hapo hapo baharia nilibadilika nikafanya usafi hadi simu niliisafisha,hatimae text iliingia "ongea na bodaboda umwelekeze ",asee hii ilinivuruga hadi bodaboda akanambia bro mbona maelezo mengi usijal namleta.
Alifika nikampeleka getho tukaanza story akili yote nikawaza namna ya kumtoa kwenye kiti na kumhamishia kitandani(mabaharia naomben msamaha hapa nilifeli)
Kumbe demu na yy wa mjinii alielewa nataka nini akasema tulia nimekuja kwa ajil yako.
Wakati tunapiga story alionekana mtu anayechat kwa kuibia ibia nikahisi huenda kuna watu wanamchek anawazuga tuu.
Nilimpapasa kidogo akaicha simu kwenye kiti tukasimama nikaacha kucheza na code zinazotoa DAWASCO hakuchukua round akaomba twende kitandan.
Chapchap nikatoa ndomu kwenye kabat nikavaa nilimshugulikia kiukweli ukweli miwshon akaigiza kama amelegea sana (kumbe mtego mi sijui) alianza kuhema kwa shida akaniomba nikamletee maji makubwa ya barid sana(hapa ndo nilikosea )nilitoka speed kama upepo ,kitendo cha kutoka na kurud nakuta demu hayupo.kuangalia vizur LAPTOP haipo sijakaaa sawa kuchek wallet ilikuw na 150k nikakuta 10k tuu.nilipagawa.
JANA TUKAKUTANA KANISANI
Nilishtuka sana nikajiuliza hvi ni yeye kweli au ,kwa dharau ya upole akanisalimia "bwana yesu asifiwe"
niliwaza nimchape vibao waumini watanirukia,nikisema nimshtak atanishinda tuu.