Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Hoja zako nazo.
1. Iweje walipe wakati hela hazitoshi kwenye akaunti yako.
2. A forged signature cannot effect a payment and the bank should be held liable for its action. (this is your very most strong point).
3. Kwanini hawakuirudisha cheki wakati hela hazitoshi? ( "refer to drawer").
4. Mbona ni rahisi kumshika mwizi maana alifungua akaunti yake katika benki aliyo-deposit hiyo cheki feki. Na lazima alipofungua akaunti alitoa picha na kitambulisho pamoja referees wawili. lazima kuna details zake kwenye benki ya conman huyo.