Simu utapata usiwe na wasiwasi kabisa...ingia Icloud kwa kutumia simu ya rafiki yako kisha andika find my iphone...simu kama itakua imewashwa itaonesha ilipo na itumletea sms mwizi kua mwenye simu anaitafuta hivyo airudishe...
roho inaniumaHata usihangaike
HahahaAu bashite kaipitia maana hata wabunge wanamfahamu
jamani naombeni msaada nimeibiwa simu yangu aina ya Iphone 6S+ nahitaji kuifunga hii simu au kuipata![]()
Ujue we jamaa una mambo ya kifala sana? Unaleta nyuzi za kijinga jinga huku ukiwa unajisifia wewe mwenyewe kua unatoa icloud maana yake nini?roho inaniuma
Kanikera sana mkuuUjue we jamaa una mambo ya kifala sana? Unaleta nyuzi za kijinga jinga huku ukiwa unajisifia wewe mwenyewe kua unatoa icloud maana yake nini?
Kama unatoa si uendelee kujitangazia biashara, huu ujinga kaupeleke unapochezaga.
View attachment 478100View attachment 478101View attachment 478102View attachment 478103View attachment 478104View attachment 478105
Hili jamaa linatudanganya kama vile sisi wote huku ni watoto
Mod ebu muwe mnawaangalia hawa watu ambao wabaweka thread ambazo ukizichunguza utagundua kuwa ni uongo mtu. Mtu kama Huyu ambae amewahi kujisia hapa kuwa anatoa I cloud kwa 200,000 alafu Leo anakuja na post kama hii na nyingine kibao