- Thread starter
- #21
Kama unaijua shule ya shamsiya ndio maeneo hayo, njia ya kuingilia kutoka mianzini kuingia konoike/moga secondaryMbweni Mpiji ni Kiharaka au Kiembeni au Mingoi?
Kama unaijua shule ya shamsiya ndio maeneo hayo, njia ya kuingilia kutoka mianzini kuingia konoike/moga secondaryMbweni Mpiji ni Kiharaka au Kiembeni au Mingoi?
Hiyo ndio ya kwanza kabisa kabla ya jambo lolote, nina rbNdugu! umetoa ripoti polisi? jitihada zaidi uliyofanya kuhakikisha unaipata hiyo bajaj je?
Mtu kaibiwa,wewe unaleta mzaha!,Dah...Kuna carry moja sasa hivi imepita imepakia bajaji hapa barabara ya airport Mpanda, Katavi..Kwani wewe uko wapi?
Dah...Mzaha kaanza yeye...hasemi wapi wala saa ngapi...Mtu kaibiwa,wewe unaleta mzaha!,
Track za tairiZimeonekana track za tairi ya nyuma tu. Bajaj nyingi zimeibiwa kwa style hiyo.