Nimehudhuria ndoa 12 za ndugu zangu waislamu ndani ya wiki mbili, kunani jamani mbona kuoana hovyo

Mangi flani hivi

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
2,026
3,100
Ilikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.

Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.

Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...

Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
 
Ndoa za futari tu mangi zisikutishe,zinaa haitakiwi ndani ya ramadhani ila tukifungua kidoooogo tunajiiba.
Mkuu nimeshtuka sana.... Sasa kwanini wasioane miezi mingine mpaka wake warundike shuguli zote ndani ya Muda mfupi mkuu??? Ila nimefaidi sana....
 
Ilikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.

Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.

Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...

Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Acha hizo,
Kuoana hovyo ndio nini?
 
Ilikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.

Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.

Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...

Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Wewe unaolewa lini binti?
 
Paprika unajua kupika muhogo kwa nazi na samaki pembeni? Kachori,katlessi,vibibi,visheti,sema kama wajua,tufunge na sisi,ila mwendo wa kimya kimya tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom