Nimeharibu ndoa ya watu

Nimeharibu ndoa ya watu

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
381
Wadau habari zenu,naomba mniambie hapa mwenye kosa ni nani
Ni kwamba siku moja nipo kwenye daladala natoka kwenye mishe zangu nkakutana na mtoto kwenye gari nikaomba namba after 2 days nikamtia vocal akakubali tukaanza mapenzi,lkini Kumbe Yule Binti kaolewa Mme wake kashtukia kama nachat nae akaanza visa kwa mke wake na kunitafuta mm ,nikamwambia mi naishi mbeya na huyo mke wako sifahamu nlikosea tu namba ,jamaa hakuelewa akamnyang'anya simu Yule mke was na kumwachisha kazi ya kuuza duka mjini na ndoa yao ipo katika migogoro ,wakati Yule demu mi nlishampiga chini lakini jamaa hamwamini tena mke wake kila siku ugomvi huyo demu ananitafuta siku moja moja kunipa taarifa kinachoendelea na anadai kamchoka mshikaji anataka kurudi kwao ,Sasa naona kama nimeharibu ndoa ya watu nifanyaje jamani ili mdada wa watu aendelee na ndoa yake??
 
Wadau habari zenu,naomba mniambie hapa mwenye kosa ni nani
Ni kwamba siku moja nipo kwenye daladala natoka kwenye mishe zangu nkakutana na mtoto kwenye gari nikaomba namba after 2 days nikamtia vocal akakubali tukaanza mapenzi,lkini Kumbe Yule Binti kaolewa Mme wake kashtukia kama nachat nae akaanza visa kwa mke wake na kunitafuta mm ,nikamwambia mi naishi mbeya na huyo mke wako sifahamu nlikosea tu namba ,jamaa hakuelewa akamnyang'anya simu Yule mke was na kumwachisha kazi ya kuuza duka mjini na ndoa yao ipo katika migogoro ,wakati Yule demu mi nlishampiga chini lakini jamaa hamwamini tena mke wake kila siku ugomvi huyo demu ananitafuta siku moja moja kunipa taarifa kinachoendelea na anadai kamchoka mshikaji anataka kurudi kwao ,Sasa naona kama nimeharibu ndoa ya watu nifanyaje jamani ili mdada wa watu aendelee na ndoa yake??
unaomba ushauri kwa uharibifu huo uliofanya?ushaur gani unataka kupewa na jibu unalijua?Muoe wewe sasa kama anaachwa ili na wewe wamvue chu...pii!
 
Wee jione mjanja leo kwa jamaa kesho kwako.
IMG_20170210_221058.jpg
 
Sali sn isije kukutokea naww....karma is a bitch.
 
jiandae kuvuta jiko lako hilo tayari, ila jasiri haachi asili lazima uchapiwe pia
 
Hahahhh Bonny niache sasa huyo dada kwa nn amdanganye mwenzie kama ameolewa anataka kumtafutia mwenzie matatizo tu

Unafikir kusema ukwel shuhul
Ndogo bora angesema mie muuza nguo namdai mkeo alikuja kukopa dukan kwangu
 
Do what you wish others to do for you,you good for nothing man take care
 
Wadau habari zenu,naomba mniambie hapa mwenye kosa ni nani
Ni kwamba siku moja nipo kwenye daladala natoka kwenye mishe zangu nkakutana na mtoto kwenye gari nikaomba namba after 2 days nikamtia vocal akakubali tukaanza mapenzi,lkini Kumbe Yule Binti kaolewa Mme wake kashtukia kama nachat nae akaanza visa kwa mke wake na kunitafuta mm ,nikamwambia mi naishi mbeya na huyo mke wako sifahamu nlikosea tu namba ,jamaa hakuelewa akamnyang'anya simu Yule mke was na kumwachisha kazi ya kuuza duka mjini na ndoa yao ipo katika migogoro ,wakati Yule demu mi nlishampiga chini lakini jamaa hamwamini tena mke wake kila siku ugomvi huyo demu ananitafuta siku moja moja kunipa taarifa kinachoendelea na anadai kamchoka mshikaji anataka kurudi kwao ,Sasa naona kama nimeharibu ndoa ya watu nifanyaje jamani ili mdada wa watu aendelee na ndoa yake??
Hapo bora ufanye kama yule jamaa wa musoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom