View attachment 2689999ukiwa mungo uwe na kumbukumbu hii ndio post yako iliyopita unaanza ujenzi ukasema umemua kutumia tofari za kuchoma na utajengea tope tu ajabu ukatuonyeeha boma hili la tofari za block tukakuacha tu
Haya angalia ramani ya hili boma ulilosema umeanza kujenga na hii nyumba unayosema imekamilika ni vitu viwili tofauti maaa uku ndio mbele ya nyumba havifanani kabisa na hii nyumba ya sasa
Acha uongo