nimehama timu wazee..

G_real

JF-Expert Member
Aug 23, 2019
684
851
habari za saizi wakuu kuanzia leo tarehe 23 mwezi 9 mwaka 2019 kwa akili zangu timamu nimeamua kuhama manchester united na kuamia manchester city sijalazimishwa na mtu nimeamua mi mwenyewe na sababu zilizo nifanya nihame ni hizi 1.kocha hana mbinu na uwezo wa kubadili mchezo yani hajui plan b 2.wachezaji hakuna yani anatoka straika anaingia kiungo 3.kocha anabet saana 4.kamuuza lukaku afu ajanunua mbadala wake 5.timu inanirudisha nyuma kila siku naiamini kwenye mikeka naipa win direct lakin haijawahi kushinda na jana yenyewe tu imenikosesha milioni 10
 
habari za saizi wakuu kuanzia leo tarehe 23 mwezi 9 mwaka 2019 kwa akili zangu timamu nimeamua kuhama manchester united na kuamia manchester city sijalazimishwa na mtu nimeamua mi mwenyewe na sababu zilizo nifanya nihame ni hizi 1.kocha hana mbinu na uwezo wa kubadili mchezo yani hajui plan b 2.wachezaji hakuna yani anatoka straika anaingia kiungo 3.kocha anabet saana 4.kamuuza lukaku afu ajanunua mbadala wake 5.timu inanirudisha nyuma kila siku naiamini kwenye mikeka naipa win direct lakin haijawahi kushinda na jana yenyewe tu imenikosesha milioni 10
Karibu kwetu Gwambina FC.
 
habari za saizi wakuu kuanzia leo tarehe 23 mwezi 9 mwaka 2019 kwa akili zangu timamu nimeamua kuhama manchester united na kuamia manchester city sijalazimishwa na mtu nimeamua mi mwenyewe na sababu zilizo nifanya nihame ni hizi 1.kocha hana mbinu na uwezo wa kubadili mchezo yani hajui plan b 2.wachezaji hakuna yani anatoka straika anaingia kiungo 3.kocha anabet saana 4.kamuuza lukaku afu ajanunua mbadala wake 5.timu inanirudisha nyuma kila siku naiamini kwenye mikeka naipa win direct lakin haijawahi kushinda na jana yenyewe tu imenikosesha milioni 10

Hongera sana...Walimbania a little migician Dybala sasa acha waendelee kupigwa mamaee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom