Nimehama Simba rasmi

Binafsi sijaacha kuishabikia simba ila naungana na Mchome, jamaa anaongea ukweli lakini mashabiki wanang'ang'ana huyu katumwa na yanga
Mchome sio shabiki wa Simba shtuka
 
Mimi nijuavyo shabiki wa timu ya mpira wa miguu hahami timu, ila kwa mchezaji ni sawa.
Ushasema wewe ujuavyo na Mimi nijuavyo hua wanahama sababu timu sio mama
 
Nitaendelea kushabikia Simba Sc mpaka pale tutakapobeba kombe la Club World Cup.
 
ungesubirisubiri mpk yanga wachukue ubingwa wa 8 mfululizo hivi
 
Kwa kweli wewe ndio mbumbumbu hatuna shabiki wa simba wa aina hii ,tunawafungulia Milango mbumbumbu kama ninyi ,nikupongeze kwa kukifahamu hilo
Wajinga na masikini kama wewe ndio mtaji wa MO
 
Sisi simba ni hamnazo kabisa ,naunga mkono hoja
 
Safi sana..
 
Kadi yako namba ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…