The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Post deleted by author.
Uamuzi wa mda au ?Mimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Kuanzia leo na kuendeleaUamuzi wa mda au ?
Sio kwamba anafungwa leo na unahama?Kuanzia leo na kuendelea
Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.Mimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Ushabiki wa mpira, ni kama KABILA. Utahama DINI, lakini si KABILA! Kwa uamuzi huo, jamaa si MSHABIKI WA MPIRA!Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.
Kama ndiyo hivyo basi arsenal ingekua haina shabiki hata mmoja.
Wee wacheki wanakonda Kama hawali lakini hawahami. !!!!!!!
hakuwa shabiki huyoo na kama alikua shabiki basi shabiki maandazi, mimi hata uniwekee kisu shingoni siwezi hama timu yangu, nitaumia tuu na kichapo ila timu sihami....hata tupigwe kumi hata tushuke daraja hukohuko nitaifuata,unahamaje timu,timu ni zaidi ya imani kwa mpenda mpira...Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.
Kama ndiyo hivyo basi arsenal ingekua haina shabiki hata mmoja.
Wee wacheki wanakonda Kama hawali lakini hawahami. !!!!!!!
Unasema?Muda si mrefu
Liver 0- 2 PSG...atahamia PSG
AiseeWashabiki maandazi kama wewe the book
Hatuwapi nafasi kujiunga na arsenal yetu maana mtakuja kufa na pressure ndani ya week moja