phillipe baptiste
Member
- Oct 11, 2015
- 15
- 12
Kuna binti tulikua tukiishi mtaa mmoja katikati mwa miaka ya tisini, alikua ni mzuri ajabu, kwa lugha ya kawaida hakuna Maneno yanayojitosheleza kuelezea uzuri wake
Wakati huo mm nilikua form four yeye form three, vijana wengi sana walijitosa kumtongoza, mm nilikua mmoja wao
Nilikua nampenda sana yule binti, nikamwandikia barua ya mapenzi, siku kadhaa mbele akanijibu kuwa hanitaki kupitia barua pia, maana wakati huo nadhan mtindo Wa kuandika barua za mapenzi ndio ulikua unaelekea ukingoni, nakumbuka kwenye 97+ ndio simu zilianza kuja ingawa waliomudu walikua wachache sana
Nikaona niongee nae uso kwa uso isije ikawa barua yangu ilichakachuliwa na dalali niliemtuma , bado alinijibu Maneno yafuatayo. Kwamba "" nakuchukia, sikupendi, kwanza wewe sio handsome kama flan na flani, hatuendani, hivyo usinifuate fuate, zaidi ya yote kwenu kumechoka, utanipa nini? nikamwelea nikafuta mawazo hayo nika concentrate na masomo yangu
Nikamaliza forum 4 then 6 then nikachaguliwa UDSM, nikafanya computer science and mathematics, then nikapata wafadhili nikapata scholarship nikaenda kufanya masters ya IT university of the Western cape SA
Nikarudi hapa nikakuta ndio mabenki mengi yanaanza mfumo Wa kufanya transactions live online, ndipo watu wengi Wa IT tulipoanza kugombaniwa na mabenki hayo mwanzoni mwa 2000 -2005
Mungu si athumani nikaingia mkataba mnono na benki moja ya makabwela iliyokua imenunua system ya EQUINOX
Ama kweli elimu haitupi mtu
Baade nikaamia benki nyingine ya kigeni ambayo nipo hadi sasa, namshukuru mungu, nimewajengea wazazi nyumba, mm zangu mbili, nimewekeza miradi kadhaa, nimewainua wadogo zangu na kadhalika
Kumbe wanawake huwa wana expire
Kama miezi mitatu iliyopita nikiwa ofisini kwangu, nilipigiwa simu na reception kuwa kuna mgeni wangu anaitwa Lydia tumruhusu aje? Nikajibu ndio, hata hivyo nilijibu ndio bila kujua ni Lydia yupi huyo kaja kunitafuta kazini?
Alipoingia nilishtuka kumuona ni Lydia Wa Mtaani kwetu miaka hiyo,ni yule binti alienikataa kwa mbwembwe, hatukuwahi kuonana tena baada ya mm kumaliza form four na kuondoka mkoani kwa safari ndefu ya shule iliyonifikisha hapa
Nilisonenaka mno moyoni, Lydia amechoka, amedhoofika, nywele zilizokosa matunzo, ingawa uzuri usoni upo lakini amekonda, alionekana wazi maisha yamemtandika vilivyo
Akanieleza alikutana na mama yangu mkoani siku za karibuni ndipo mama akamuelekeza ninapopatikana, binti akadai amenitafuta muda mrefu bila mafanikio hadi alipokutana na mama yangu, maana wazazi walishahama Mtaani long time
Jioni yake tulikaa sehemu tukaongea mengi, nikampeleka changanyikeni anakofikiaga kila akija dar, kumbe Ali fail form 4 na 1999 alifiwa na mama, 2003 Mzee akafariki
Tangu tumekutana July alipokuja ofisini nimekua nikimsaidia mambo mbali mbali, in short anaishi hapa kwa hisani yangu, kwa sasa amenona, uzuri wote umerudi, nyonyo zimesimama kama bolibo, nimekua nikimhudumia kama Rafiki Wa kawaida kumsaidia, hali ilikua mbaya sana
Mm sijamgusia neno lolote kuhusu mapenzi, lakini kwa dalili zote ni wazi anataka tuwe pamoja, kwanza alianza kuniomba msamaha kwa Maneno aliyoniambia huko nyuma, kwamba alikua bado mtoto asieweza kufikiri sasa sasa, hakujua anahitaji nini wakati huo, kwamba hayakutoka moyoni mwake, nikamwambia yalishaisha hayo siku nyingi, tukaishia hapo, hatujawahi kuongea way forward, ingawa anafika kwangu Mara nyingi anapika na kufanya usafi kama washikaji tu, maana kuna ndugu wengine naishi nao hapo, mm bahati mbaya kwa upande wangu, mapenzi kwa miaka mingi hayaniendei vizuri, eneo hilo Nina sifuri, sijakua na stable relationship, hata mwaka huwa simalizi na msichana tunashindwana, hata nilie nae sasa hivi ni kama hakuna mwelekeo, Nina watoto wawili Wa wanawake tofauti
Hata hivyo kwa hali ya huyu Dada nimejiuliza ujanja Wa wanawake uko wapi? Jinsi alivyotusumbua Mtaani you can never believe, now she is on her knees, kumbe wanawake wana expire date ikipita Basi inakua dhahama
Sasa Rafiki yangu mmoja ananishauri mchukue huyu mtoto uishi nae, mtoto mzuri kiasi hiki bado unajiuliza uliza? Anasema
Lakini kiukweli Ninasita sana kujihusisha na huyu binti kimapenzi kwa sababu ya maswali yafuatayo
(1) amepita sehemu ngapi, na amehangaika kiasi gani na wanaume hadi kufika hapa?
(2) kwa nini msichana mzuri kiasi kile ameshindwa kuolewa kwa miaka yote hiyo? Watu hawamuoni? Wasichana karibuni wote Mtaani pale nasikia waliolewa tena wengine wabaya Wa sura, yy ilikuaje? Yupo kwenye mid 30s tupo kwenye rika moja mm namzidi kidogo nipo kwenye late 30s
(3)pale Mtaani kuna wengine pia walikua wanamfuatilia enzi hizo je hakuna aliempata?
(4) je sio kwamba ugumu Wa maisha na matatizo yaliyompata ndio yamemleta kwangu na sio Upendo?
(5)je hakuna jambo kubwa lililojificha nyuma ya pazia nisilolijua? Maana sina Wa kumuuliza historia ya huyu Dada baada ya mm kuondoka Mtaani, na wengi waliondoka pale kwenda kutafuta life kwingine
Kuna yeyote anaweza kunisaidia kujibu haya maswali?
Nb, sehemu niliyoeleza mafanikio ya kielimu na kikazi ni kutaka kukupa picha ya wakati huo nakataliwa na sasa nimefanikiwa, naomba isieleweke vinginevyo
Wakati huo mm nilikua form four yeye form three, vijana wengi sana walijitosa kumtongoza, mm nilikua mmoja wao
Nilikua nampenda sana yule binti, nikamwandikia barua ya mapenzi, siku kadhaa mbele akanijibu kuwa hanitaki kupitia barua pia, maana wakati huo nadhan mtindo Wa kuandika barua za mapenzi ndio ulikua unaelekea ukingoni, nakumbuka kwenye 97+ ndio simu zilianza kuja ingawa waliomudu walikua wachache sana
Nikaona niongee nae uso kwa uso isije ikawa barua yangu ilichakachuliwa na dalali niliemtuma , bado alinijibu Maneno yafuatayo. Kwamba "" nakuchukia, sikupendi, kwanza wewe sio handsome kama flan na flani, hatuendani, hivyo usinifuate fuate, zaidi ya yote kwenu kumechoka, utanipa nini? nikamwelea nikafuta mawazo hayo nika concentrate na masomo yangu
Nikamaliza forum 4 then 6 then nikachaguliwa UDSM, nikafanya computer science and mathematics, then nikapata wafadhili nikapata scholarship nikaenda kufanya masters ya IT university of the Western cape SA
Nikarudi hapa nikakuta ndio mabenki mengi yanaanza mfumo Wa kufanya transactions live online, ndipo watu wengi Wa IT tulipoanza kugombaniwa na mabenki hayo mwanzoni mwa 2000 -2005
Mungu si athumani nikaingia mkataba mnono na benki moja ya makabwela iliyokua imenunua system ya EQUINOX
Ama kweli elimu haitupi mtu
Baade nikaamia benki nyingine ya kigeni ambayo nipo hadi sasa, namshukuru mungu, nimewajengea wazazi nyumba, mm zangu mbili, nimewekeza miradi kadhaa, nimewainua wadogo zangu na kadhalika
Kumbe wanawake huwa wana expire
Kama miezi mitatu iliyopita nikiwa ofisini kwangu, nilipigiwa simu na reception kuwa kuna mgeni wangu anaitwa Lydia tumruhusu aje? Nikajibu ndio, hata hivyo nilijibu ndio bila kujua ni Lydia yupi huyo kaja kunitafuta kazini?
Alipoingia nilishtuka kumuona ni Lydia Wa Mtaani kwetu miaka hiyo,ni yule binti alienikataa kwa mbwembwe, hatukuwahi kuonana tena baada ya mm kumaliza form four na kuondoka mkoani kwa safari ndefu ya shule iliyonifikisha hapa
Nilisonenaka mno moyoni, Lydia amechoka, amedhoofika, nywele zilizokosa matunzo, ingawa uzuri usoni upo lakini amekonda, alionekana wazi maisha yamemtandika vilivyo
Akanieleza alikutana na mama yangu mkoani siku za karibuni ndipo mama akamuelekeza ninapopatikana, binti akadai amenitafuta muda mrefu bila mafanikio hadi alipokutana na mama yangu, maana wazazi walishahama Mtaani long time
Jioni yake tulikaa sehemu tukaongea mengi, nikampeleka changanyikeni anakofikiaga kila akija dar, kumbe Ali fail form 4 na 1999 alifiwa na mama, 2003 Mzee akafariki
Tangu tumekutana July alipokuja ofisini nimekua nikimsaidia mambo mbali mbali, in short anaishi hapa kwa hisani yangu, kwa sasa amenona, uzuri wote umerudi, nyonyo zimesimama kama bolibo, nimekua nikimhudumia kama Rafiki Wa kawaida kumsaidia, hali ilikua mbaya sana
Mm sijamgusia neno lolote kuhusu mapenzi, lakini kwa dalili zote ni wazi anataka tuwe pamoja, kwanza alianza kuniomba msamaha kwa Maneno aliyoniambia huko nyuma, kwamba alikua bado mtoto asieweza kufikiri sasa sasa, hakujua anahitaji nini wakati huo, kwamba hayakutoka moyoni mwake, nikamwambia yalishaisha hayo siku nyingi, tukaishia hapo, hatujawahi kuongea way forward, ingawa anafika kwangu Mara nyingi anapika na kufanya usafi kama washikaji tu, maana kuna ndugu wengine naishi nao hapo, mm bahati mbaya kwa upande wangu, mapenzi kwa miaka mingi hayaniendei vizuri, eneo hilo Nina sifuri, sijakua na stable relationship, hata mwaka huwa simalizi na msichana tunashindwana, hata nilie nae sasa hivi ni kama hakuna mwelekeo, Nina watoto wawili Wa wanawake tofauti
Hata hivyo kwa hali ya huyu Dada nimejiuliza ujanja Wa wanawake uko wapi? Jinsi alivyotusumbua Mtaani you can never believe, now she is on her knees, kumbe wanawake wana expire date ikipita Basi inakua dhahama
Sasa Rafiki yangu mmoja ananishauri mchukue huyu mtoto uishi nae, mtoto mzuri kiasi hiki bado unajiuliza uliza? Anasema
Lakini kiukweli Ninasita sana kujihusisha na huyu binti kimapenzi kwa sababu ya maswali yafuatayo
(1) amepita sehemu ngapi, na amehangaika kiasi gani na wanaume hadi kufika hapa?
(2) kwa nini msichana mzuri kiasi kile ameshindwa kuolewa kwa miaka yote hiyo? Watu hawamuoni? Wasichana karibuni wote Mtaani pale nasikia waliolewa tena wengine wabaya Wa sura, yy ilikuaje? Yupo kwenye mid 30s tupo kwenye rika moja mm namzidi kidogo nipo kwenye late 30s
(3)pale Mtaani kuna wengine pia walikua wanamfuatilia enzi hizo je hakuna aliempata?
(4) je sio kwamba ugumu Wa maisha na matatizo yaliyompata ndio yamemleta kwangu na sio Upendo?
(5)je hakuna jambo kubwa lililojificha nyuma ya pazia nisilolijua? Maana sina Wa kumuuliza historia ya huyu Dada baada ya mm kuondoka Mtaani, na wengi waliondoka pale kwenda kutafuta life kwingine
Kuna yeyote anaweza kunisaidia kujibu haya maswali?
Nb, sehemu niliyoeleza mafanikio ya kielimu na kikazi ni kutaka kukupa picha ya wakati huo nakataliwa na sasa nimefanikiwa, naomba isieleweke vinginevyo