VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 402
- 539
Katika pitapita zangu za hapa na pale katika kila post za watu tofautitofauti.
Nimegundua wanaume na wanawake wa humu wanaendekeza ngono sana.
Haswa hizi posti za MMU utakuta watu wameposti minyanduano tupu. Sijui in the long run faida yake ni ipi haswa !
Halafu kule kwenye love connect mbona wadada wanaotaka wenza wao ukiwa pm wagumu kureply sana sijui wanataka nn kama sio haya haya mambo.
Nimegundua wanaume na wanawake wa humu wanaendekeza ngono sana.
Haswa hizi posti za MMU utakuta watu wameposti minyanduano tupu. Sijui in the long run faida yake ni ipi haswa !
Halafu kule kwenye love connect mbona wadada wanaotaka wenza wao ukiwa pm wagumu kureply sana sijui wanataka nn kama sio haya haya mambo.