THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Habarini Wanajukwaa Mimi nimeamka salama Chini ya Udhamini wa Majini ya Yanga yamenituma niende Twitter(X) Asubuhi ya Leo ila nilichokutana nacho nimeumia sana nikajiuliza hivi kwanini tuna watu hawa hii Nchi.
Bahat mbaya wamepata bahat ya kujulikana na kupendwa ila hawana Msaada kabisa yani mtu mnametegemea awasaidie kwenye soka maana amefanikiwa kufika sehemu anayoweza kukutana na watu tofautitofauti au anaweza kuongea kitu kikawafikia wengi na mnajua kabisa huyu ni mtu wa soka.
Ila anakuja na Ngonjera za kwamba eti AFCON ya Mwaka 2023-2024 ndio imemfumbua kujua kua Ma Legend wanatakiwa wapewe kipaumbele linapokuja swala la Team ya Taifa katika Michezo.
Nimeuma sana coz mi hili swala sio kwamba nimeanza kuliona juz, hili lipo miaka nenda rudi sio kwa Team za Taifa tu hata Vilabu Vikubwa Ulaya vimefanya hili na vimefanikiwa sana..
Kilichoniumiza zaid ni pale Mchambuzi wa Maswala kama haya anatoka mbele za Umma kusema Issue hii Wakat AFCON imeisha na Nchi Yetu ilifanya UPUPU na kwenye Kamati ya Hamasa WAZIRI aliwaweka Wachekeshaji ambao sijui hata kama wanajua Sheria 4 za Mpira wa Miguu.
Ila Ulikaaa kimya Mkaona wale watu waliokosoa ni watu wasiopenda maendeleo ya hii Nchi..Leo tumeharibu Nchi iliyoheshimu Mpira na kumuheshimu Drogba anatoka huko anasema AFCON ya 2023-2024 Imemfunza eti tuwekeze kwa Ma Legend.
Frankly Mi hua ni shabiki ake sana Farhan ila kwa hapa Kijana Mwenzangu umepuyanga na kama upo humu au yupo mtu humu anamfahamu Mwambien ajirekebishe.
Yani najiuliza kwanini haukukusoa Ile Issue ya kina mwijaku na Baba levo+Joti?
Jibu najua utasema Hukujua.
Swali hapohapo kama hukujua jambo dogo kama hili Mambo makubwa ya Soka utakua na Uelewa nayo kweli?
#CHINI YA UDHAMINI WA MAJINI
ONA HAPA CHINI;
Bahat mbaya wamepata bahat ya kujulikana na kupendwa ila hawana Msaada kabisa yani mtu mnametegemea awasaidie kwenye soka maana amefanikiwa kufika sehemu anayoweza kukutana na watu tofautitofauti au anaweza kuongea kitu kikawafikia wengi na mnajua kabisa huyu ni mtu wa soka.
Ila anakuja na Ngonjera za kwamba eti AFCON ya Mwaka 2023-2024 ndio imemfumbua kujua kua Ma Legend wanatakiwa wapewe kipaumbele linapokuja swala la Team ya Taifa katika Michezo.
Nimeuma sana coz mi hili swala sio kwamba nimeanza kuliona juz, hili lipo miaka nenda rudi sio kwa Team za Taifa tu hata Vilabu Vikubwa Ulaya vimefanya hili na vimefanikiwa sana..
Kilichoniumiza zaid ni pale Mchambuzi wa Maswala kama haya anatoka mbele za Umma kusema Issue hii Wakat AFCON imeisha na Nchi Yetu ilifanya UPUPU na kwenye Kamati ya Hamasa WAZIRI aliwaweka Wachekeshaji ambao sijui hata kama wanajua Sheria 4 za Mpira wa Miguu.
Ila Ulikaaa kimya Mkaona wale watu waliokosoa ni watu wasiopenda maendeleo ya hii Nchi..Leo tumeharibu Nchi iliyoheshimu Mpira na kumuheshimu Drogba anatoka huko anasema AFCON ya 2023-2024 Imemfunza eti tuwekeze kwa Ma Legend.
Frankly Mi hua ni shabiki ake sana Farhan ila kwa hapa Kijana Mwenzangu umepuyanga na kama upo humu au yupo mtu humu anamfahamu Mwambien ajirekebishe.
Yani najiuliza kwanini haukukusoa Ile Issue ya kina mwijaku na Baba levo+Joti?
Jibu najua utasema Hukujua.
Swali hapohapo kama hukujua jambo dogo kama hili Mambo makubwa ya Soka utakua na Uelewa nayo kweli?
#CHINI YA UDHAMINI WA MAJINI
ONA HAPA CHINI;