Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,854
- 35,992
Nlitegemea baada ya rais kumkingia kifua ndugu Makonda, basi Gwajima angeelekeza mashambulizi yake kwa rais. Lakini katika ibada ya jumapili ya jana eti anawaambia watu waache kumsumbua rais, badala yake wamuunge mkono rais ila bashite asiungwe mkono!
Ameendelea kusema, mamlaka ya rais hayahojiwi na asisumbuliwe!
"Tumuunge mkono mheshimiwa rais, na kuanzia leo nisisikie mtu akimshutumu na kumsumbua mheshimiwa rais. Tumuunge mkono, tumwombee mh. Rais, lakini bashite asiungwe mkono hapanaaa"
Inajulikana wazi Makonda yuko pale kwa mamlaka ya rais, sasa yeye si anajiita jasiri? Kwanini asipige pale panapompa jeuri Makonda?
Gwajima acha unafiki na uoga!
Ameendelea kusema, mamlaka ya rais hayahojiwi na asisumbuliwe!
"Tumuunge mkono mheshimiwa rais, na kuanzia leo nisisikie mtu akimshutumu na kumsumbua mheshimiwa rais. Tumuunge mkono, tumwombee mh. Rais, lakini bashite asiungwe mkono hapanaaa"
Inajulikana wazi Makonda yuko pale kwa mamlaka ya rais, sasa yeye si anajiita jasiri? Kwanini asipige pale panapompa jeuri Makonda?
Gwajima acha unafiki na uoga!