kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Pia jiunge na Telegram kipindi hiki kabla JF haijaingiliwa tar 27
🤣🤣🤣🤣🤣dah sijui nimuiteDunia duara hii wewe huelewi Nini sasa..?
Huyo nanilii hayupo! Hebu jiachie kwanza nitundike na mibusu sahivi niinjoi Mimi..😅
Acha ushamba wewe huelewi Nini nakuambia dunia duara hii na tayari imeshaduara. 😂🤣🤣🤣🤣🤣dah sijui nimuite
Kenzy una matatizoo🤣🤣🤣🤣Acha ushamba wewe huelewi Nini nakuambia dunia duara hii na tayari imeshaduara. 😂
Hebu achana na kuitaita.. usiwe mgumu nishakutoa hofu laazizi,kuwa huru niite majina ya kimwandani Tena ikibidi nije uifinyie kwa ndani..😉
Sasa nifanyaje..? Unataka nami niiduare..?Kenzy una matatizoo🤣🤣🤣🤣
Ikiduara tena unakimbilia kwingine😂😂akuu
Maneno yako tuunajikuta nimezama tayari vitendo sijui itakuwaje babeSasa nifanyaje..? Unataka nami niiduare..?
Hebu acha hizo na hayo matatizo wewe ndo wakuyatatua mpenzi.. mi nahitaji kubalio lako tu uone mnyamwezi navyofurahika nawe utambe na ujinenepee kwa huba murua.. sema nami mrembo..
Hayo ndo mambo sasa.. we usihofu hapa ndo umefika usijibanebane nataka ujiachie uione maana halisi ya maisha!.. usipojimwayamwaya kwangu utakuwa unajinyima haki yako ya kunenepa,kufurahi,kupendwa na kujaaliwa.. napenda uwe na tabasam hata ndotoni njoo tulale wote tufikishane peponi..😉Maneno yako tuunajikuta nimezama tayari vitendo sijui itakuwaje babe
HahahahaHayo ndo mambo sasa.. we usihofu hapa ndo umefika usijibanebane nataka ujiachie uione maana halisi ya maisha!.. usipojimwayamwaya kwangu utakuwa unajinyima haki yako ya kunenepa,kufurahi,kupendwa na kujaaliwa.. napenda uwe na tabasam hata ndotoni njoo tulale wote tufikishane peponi..
Ntakunenepesha ile ndani kwa ndani..😜Hahahaha
Kunenepa nshanenepa zaidi ya hapa ntapasuka mpenzii
Kuna Sehemu kuna error hapo mkuu?Kuwa makini kwenye uwandishi wako kwenye R usiweke L usiweke R kwenye L
Hii huduma ni exclusive au kwa wote? Mbona hii hatua wengine hatukuipitia!?Karibu,ukihitaji wa kukutembeza nipo hapa,tutaanzia pm alafu ndo majukwaani
Karibu sana mkuu, jisikie huru kabisa.Helo.Nimefurahi Kujiunga nanyi Wana Jamii Forums. Asante
Huyu ni wewe au kuna mtu kaiba nywila yako ya jfKaribu,ukihitaji wa kukutembeza nipo hapa,tutaanzia pm alafu ndo majukwaani
Sio mimi boss,nilidukuliwaHuyu ni wewe au kuna mtu kaiba nywila yako ya jf
Atakuwa superbugID ya zaman ni ipi
Sio mimi boss,nilidukuliwa
Sweetie worry out.. hii mijitu myengine stress tu!