Ndugu wana Jamii Forum,
nimefiwa na kaka yangu tarehe 4/08/2014 siku ya Jumatatu, tulizika tarehe 6/08/2014 siku ya Jumatano Ifakara.
Kwa ajili ya majonzi makubwa nilishindwa kuwapa taarifa mapema, mpaka niliporudi kutoka msibani ndiyo nimeweza kuwajulisha.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.