Pita ndani mlango uko wazi..........hawajambo uko utokako??
Ni jina limetokana na kumbukumbu ya kifo cha Mh. PM wiki iliyopita ama ndio 'creativity' yenyewe?
Anyway, karibu sana jamvini...sheria unaanikiwa uzifate.
Karibu sana
karibu sana
elekamu mpaka ndani.....
elekamu mpaka ndani.....
Karibu sokoine,tena naona ulijiunga siku ya kuzaliwa kwangu
Asante sanaKaribu mpaka ndani.
karibu
Ahahahaaah! Sokoine bwana!! Huku ni wakulima, hivyo ni muhimu kuwa na chuo cha kilimo...Nitokako wazima mkuu...hongera sana kwa kujengewa chuo cha kilimo.