Nimefichua siri

Nimefichua siri

Bree ven

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
375
Reaction score
367
Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.

Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.

Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu mmoja wa karibu siri yangu ambayo hua sipendelei baadhi ya watu wajue. Nilipomueleza niliumia sana nikasema ni mistake imetokea nitajitahidi nizibe mdomo.

Sasa hii mara ya pili nimejikuta nikimuelezea mtu mwingine siri nyingine tena sio ile ya kwanza, nimeumia sana lakini ndo imeshatokea sasa sijui nifanyaje.

Maana ni mambo binafsi sana sipati picha akiamua kushea na watu wengine japo sio mabaya lakini ndo hivo sipendi yafahamike. Siri nimeshindwa kutunza sasa najihisi vibaya.

Kwa wanaojua njia zaidi ya kutunza siri nahitaji mawazo ili niweze kuwa mtunza siri mzuri..:embarrassed:
 
Everything happens for a reason....
Uliwaeleza hizo siri kwa sababu ulipaswa uwaeleze, that is life..
 
Mwenye siri ni Mungu... Sisi binadamu emotions zetu hazivumilii gereza la udhibiti.
^^
 
Mfate yule uliyemwambia sir yako mwambie "shosti, mwaego ile inshu niliyokwambia ni uongo" nakuhakikishia hatoisambaza koz atapuuzia... ila na ww jifunze kufunga domo lako hilo
 
Pole, inategemeana Kuna wakati mwingine vitu vingine unaweza kufikiri kuwa ni siri kumbe unahitaji ku share,Kuna Tofauti ya Neno siri kati ya mtu na mtu, Kuna kitu unaweza kuona kuwa ni siri kwako lakini kwa mwinginee sio siri,Lakini lazima uwe na mtu ambaye anaweza kubeba mambo yako na uwe na uhakika naye!. Mfano mimi Kuna vitu nashare na Mke wangu tu, vingine rafiki tu. Ndugu? Kwa ndugu ni vitu vya kindugu mara nyingi hata nikigombana na mke wangu sitaki ndugu wajue.
 
Iseme mbele ya wana MMU ili wajue jinsi ya kuhandle. Maana unaeza ona ni kitu kikuuuubwa kumbe ni cha kawaida. U need to free uaself from tht thing. The way unakaa kimya ua tormenting uaself mwisho wake vidonda vya tumbo visivyo na lazima.
 
Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.

Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.

Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu mmoja wa karibu siri yangu ambayo hua sipendelei baadhi ya watu wajue. Nilipomueleza niliumia sana nikasema ni mistake imetokea nitajitahidi nizibe mdomo.

Sasa hii mara ya pili nimejikuta nikimuelezea mtu mwingine siri nyingine tena sio ile ya kwanza, nimeumia sana lakini ndo imeshatokea sasa sijui nifanyaje.

Maana ni mambo binafsi sana sipati picha akiamua kushea na watu wengine japo sio mabaya lakini ndo hivo sipendi yafahamike. Siri nimeshindwa kutunza sasa najihisi vibaya.

Kwa wanaojua njia zaidi ya kutunza siri nahitaji mawazo ili niweze kuwa mtunza siri mzuri..:embarrassed:

Kama unashindwa kutunza siri yako na ya shost yako itakuaje maa? yaweza kuwa kwako ilikuwa siri lakini kumbe sio siri ya kuficha ndio maana ukaziachia, kama ni siri hasa jiziwie usipende kuongelea mambo yako, siku moja yatakuweka nje
 
ARDHI INAPOJAA MAJI NA KUKINAI (SATURATED) HUFURIKA NA HATA KULETA MAAFA.....VIVYO HIVYO MOYO UNAPOJAA MAMBO MENGI NA KUFURIKA HUAZA KUJIPUNGUZIA UZITO....
:::::::
KATIKA HALI HIYO, KAMA UTASHINDWA KUSEMA KWA MTU YEYOTE, UNAWEZA JIKUTA SIKU UNAROPOKA MWAEYEWE BILA KUJIJUA...
:::::::
KWA MTAZAMO WANGU, KINACHOFICHWA MARA NYINGI (NOT ALWAYS) NI UOVU..IF THAT IS THE CASE, JITAHIDI KUKWEPA MAZINGIRA YA NAMNA HIYO...
:::::::
OVER ALL, mtunza siri ni MUNGU PEKEE
 
Back
Top Bottom