mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 772
Hongera sana aisee,
Ndoa ina wiki tu umeshaanza ku-admaya watu wa watu.... We hebu muadmaye uliyemuoa bana, hawa wengine tuachie wenyewe...i real admire u. si vibaya kusema unachopenda
Ndoa ina wiki tu umeshaanza ku-admaya watu wa watu.... We hebu muadmaye uliyemuoa bana, hawa wengine tuachie wenyewe...
Ndoa ina wiki tu umeshaanza ku-admaya watu wa watu.... We hebu muadmaye uliyemuoa bana, hawa wengine tuachie wenyewe...
Umemkuta bikra?maana usije kua umeoa demu wa mtu!namshukuru Mungu sana.
baada ya pilikapilika za hapa na pale hatimae nilifanikiwa kufunga pingu za maisha wiki iliyopita namshukuru Mungu kwa hilo.
i real admire u. si vibaya kusema unachopenda
karibu rasmi kwenye ulimwengu wa kulala bila kyupi...
Umemkuta bikra?maana usije kua umeoa demu wa mtu!
wewe unaoa lini?Hongera sana....
mmmhhhhhhh!!!!