Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

Kuna mshikaji wangu alikua anakunywa Pepsi nne kwa siku. Siku moja kaenda kunyoa saloon Sasa kinyozi anaendelea kunyoa kumbe jamaa kashakata Moto (kazimia) tulimbeba Kama gunia peleka nje apigwe na upepo
Mlijuaje kwamba kuzimia kwake kulisababishwa na kunywa Pepsi nne. Wewe ni daktari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom