Wahi kwa Mangi alafu andika namba hapa upate muamala chap
Huyo ndugu kabadili jina siku hizi..
Habun ninunulie Pepsi baridi basiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahi kwa Mangi alafu andika namba hapa upate muamala chap
Huyo ndugu kabadili jina siku hizi..
Habun ninunulie Pepsi baridi basiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha Bwana....Wahi kwa Mangi alafu andika namba hapa upate muamala chap
Acha uoga mkuu basi fungua pm au mwambie Mangi akupe lipa namba usikose pepsi baridiiii.......Wacha Bwana....
Nipo kwa Mangi tayari.. ila kuandika namba hapa ndiyo kipengele Mzee Baba
Fanya utaratibu mwingine basi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja witnessj aje atupe MuongozoAcha uoga mkuu basi fungua pm au mwambie Mangi akupe lipa namba usikose pepsi baridiiii.......
au witnessj anasemaje
Huyo ndugu kabadili jina siku hizi..
Habun ninunulie Pepsi baridi basiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau na ya kutolea
Dah!!.. Bure ndiyo ina masharti namna hii jamani?Ni sawa...Usisahau na ya kutolea
Mlijuaje kwamba kuzimia kwake kulisababishwa na kunywa Pepsi nne. Wewe ni daktari?Kuna mshikaji wangu alikua anakunywa Pepsi nne kwa siku. Siku moja kaenda kunyoa saloon Sasa kinyozi anaendelea kunyoa kumbe jamaa kashakata Moto (kazimia) tulimbeba Kama gunia peleka nje apigwe na upepo
Mbona una hasira nduguMlijuaje kwamba kuzimia kwake kulisababishwa na kunywa Pepsi nne. Wewe ni daktari?