Ni mwalimu kweli Tena single mother wa watoto watatu kila mtoto kabila tofauti.Kumbe ualimu anaupenda
Ni mwalimu kweli Tena single mother wa watoto watatu kila mtoto kabila tofauti.Kumbe ualimu anaupenda
uzi wote kelele nyingi subaru tu inasumbua hivi janja ukipata gari itakuaje maana una usafiri bado unapiga keleleMagari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Ninaamini msomi yeyote hawezi kuhadaa walimu. Pamoja na kuwa sie tumaishia darasa la nne, lakini mwalimu ni wa kuheshimu sana. UbarikiweHuwa naumia sana serikali haiwapi walimu hata nyenzo ya kuheshimika kwa jamii, hasa wakatii huu wa utandawazi.
Walimu ni hazina kwa Taifa, wabarikiwe mnoo.
Hao hao walimfuta kamasi kipindi Yuko chekecheaMtoa mada bila hao walimu nadhani hata kuandika hili bandiko usingeweza
Hapana hawana Maisha magum wanakula vizuri wanavaa vizur wanafamilia Na wamejenga Na wanajishughulisha pia Na miradiHivi ni kweli waalimu wana maisha magumu sana? Tuongeeni ukweli bila chuki yoyote
As for me naona waalimu Ndo the best career sababu wao ndo wanazalisha careers mbalimbali kama ningekua Rais ningehakikisha walimu wanalipwa the best salaryNinaamini msomi yeyote hawezi kuhadaa walimu. Pamoja na kuwa sie tumaishia darasa la nne, lakini mwalimu ni wa kuheshimu sana. Ubarikiwe
Mbona husemi ningekua mwalimu? Dada acha unafikiAs for me naona waalimu Ndo the best career sababu wao ndo wanazalisha careers mbalimbali kama ningekua Rais ningehakikisha walimu wanalipwa the best salary
Aah acha izo mrembo wangu JudithBila shaka mtoa uzi atakuwa mhaya
Tena Xt ya 2008 sijui 2012 huko... hahahaha hii nchi ugonjwa wa akili unatisha!!Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Kiujumla anakosea sanaHao hao walimfuta kamasi kipindi Yuko chekechea
Dada una mimba ya miezi mingapi? Mbona una hasira sana?Pamoja na kwamba ualimu ni kazi ya kibwege lakini wewe ndio mshamba namba 1,yan mjinga mno,huna akili takataka unanuka......
Kama uliona ni washamba kwanini usiwaambie hapohapo ili wakuvue chupi lako hilo..