hahahahaaaaaaa sa we jamaa unatupotezea muda kumbe hata Uongozi haujautaarifu na upo eneo la tukio. yawezekana wamekosea uchapaji. anza nao ndo uje huku
Karatas ni zakutoka nacte hazikuchapishwa upya ndio maana naliona hili jambo co la hapa ndio maana hata wale matokeo yao yamekua retained wamefuta tu na Marker..
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
sikiliza mkuu achana na hicho chuo, hamia chuo chengine au kasome aviation ule zako maisha. karibubi tu uwanja unafunguliwa kazi kibao,, mm nilidisco degree now nimegraduate flight operation officers/ flight dispatch. likuepukalo lina kheri na ww
sikiliza mkuu achana na hicho chuo, hamia chuo chengine au kasome aviation ule zako maisha. karibubi tu uwanja unafunguliwa kazi kibao,, mm nilidisco degree now nimegraduate flight operation officers/ flight dispatch. likuepukalo lina kheri na ww
sikiliza mkuu achana na hicho chuo, hamia chuo chengine au kasome aviation ule zako maisha. karibubi tu uwanja unafunguliwa kazi kibao,, mm nilidisco degree now nimegraduate flight operation officers/ flight dispatch. likuepukalo lina kheri na ww
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Kwa mwandiko huo hata mimi ningekudiskisha
Jina la course yako tu huwezi kuliandika eti maabala GPA yenyewe unayoililia ni ya 2.0
Mungu akupe nini tena ushapata nafasi yako ukaichezea.