Nimedhalilika ...

Pole sana Dr love
 
🤣🤣🤣🤣 ndio ukome!

Mapenzi hayanaga ushauri wewe, mie yalinikuta ila nikakataa unyonge, nami nikawachamba.
Bora uliwachamba,.
Me hawakunipa hata nafasi ya kujitetea😂🥲
 
siku zote kabla ya kumshauri mtu inatakiwa ung'amue yeye anataka nini, mimi siwezi kumshauri mtu kabla sijajua yeye anataka nini, halafu ntamshauri hichohicho anachotaka yeye.
 
Katika mambo ambayo hutakiwi kujifanya mshauri ni mambo ya mahusiano. Mtoa ushauri utaishia kuonekana Kikagaragosi na mchonganishi. Maana wagombanao ndio wapatanao.

Pole sana Ms Leejay49
Kwakweli sifanyi kurudia Tena 😂
 
Me sipendagi kushauri shauri watu,. Sema huyu binti nlikua namuona anazo akili kumbe nae ndo walewale tu
Kuna mzee mmoja alisema Masikio ya wanawake siyo hayo unayoona wewe kwa suala la mapenzi hayo hayasikii, ila masikio halisi na yanayosikia ni K na watu wanaojadili jambo wakiwa hawana nguo waepuke sana
 
Kuna mzee mmoja alisema Masikio ya wanawake siyo hayo unayoona wewe kwa suala la mapenzi hayo hayasikii, ila masikio halisi na yanayosikia ni K na watu wanaojadili jambo wakiwa hawana nguo waepuke sana
Hili naishi nalo kuanzia leo
 
Kwanini wewe ulitaka mtu na mume wake waachane? Huo haukuwa ushauri mzuri hata kidogo kwa kuwa haukutafakari mara mbili madhara ya wana ndoa kuachana baadaye inakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…