Nimedhalilika ...

Wewe mtu mbaya sana, unaachanisha wapenzi! Hufai kabisa kwenye jamii za waendanao.
 
Ulikosea sana kujishikiza kwenye kuwatenganisha kuliko kuwaunganisha...

Unapokuwa kama dada hakikisha unamshauri mdogo wako namna ya kujenga mahusiano yake maana kila mwanaume ana mapungufu yake...

Pole lakini... Umekuwa kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi
 
Wala sitakaa nishauri Tena chochote
Nilijihisi kuvuliwa nguo ๐Ÿ˜‚
 
Wewe mtu mbaya sana, unaachanisha wapenzi! Hufai kabisa kwenye jamii za waendanao.
Sasa mtu analalamika mpenzi wake anamcheat na wanawake tofauti tofauti na hajali,. Kuliko kuletewa magonjwa nikamwambia mdogo wangu chapa lapa. Tena naonekana sifai ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ญ
 
Punguza sana ushauri watu wanamipango yao.

Ila sasa siku nyingine kabla hujaanza kutiririka penda kuuliza uko na nani kuepusha fedheha nyingine mbeleni
Kwakweli hili swali muhimu sana,.
Uko na nani?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Katika mambo ambayo hutakiwi kujifanya mshauri ni mambo ya mahusiano. Mtoa ushauri utaishia kuonekana Kikagaragosi na mchonganishi. Maana wagombanao ndio wapatanao.

Pole sana Ms Leejay49
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ