Nimechukia sana leo, Tanesco mmesababisha TV yangu imeungua taa

Kuli Msomi

Senior Member
Nov 17, 2016
184
457
Wakuu Tanesco ni shida sana, kuna muda leo niliwasha TV mapema mida ya saa nne saa 3 hivi nikaweka upande wa redio wakati nikiwa najiandaa kutoka kwenda mihangaikoni ghafla umeme ukakatika kama sekunde 10 ukakatika tena kisha kama sec 10 tena ukarudi.

Sasa baada ya hapo TV yangu ikawa haioneshi tena ila inatoa sauti tu. Nimekereka sana, wakaamua kukata mazima nimerudi sahivi umeme wanakata dk 10 wanazima wanawasha wanazima hii inatokea Maeneo ya Kinyerezi Bonyokwa huku hawa jamaa bwana Kero sana aisee.
 
Wakuu Tanesco ni Shida sana kuna muda leo niliwasha tv mapema saa mida ya saa nne saa 3 ivi kiwaweka upande wa redio wakati nikiwa najiandaa kutoka kwenda miangaikoni gafla umeme ukakatika kama sekunde 10 ukakatika tena kisha kama sec 10 tena ukarudi sasa baada ya apo tv yangu ikawa haioneshi tena ila inatoa sauti tu Nimekeleka sana wakaamua kukata mazima nimerudi sahivi umeme wanakata dk 10 wanazima wanawasha wanazima hii inatokea Maeneo ya kinyerezi Bonyokwa uku Awa jamaa bwana Kero sana aisee
Picha ya majivu ya TV tafadhari.!!
 
Pole sana aiseh!
Hii hali inakera mnoo,ni kheri wakate mazima wakirudisha wamerudisha.

Tanesco mnakatwa na kimbunga hidaya
 
Inakuwa kama wanafanya majaribio. Wanakata na kurudisha bila mpangilio
 
Back
Top Bottom