Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,363
- 11,519
Kwa hiyo pesa kwanza nunua Rims kali. Weka ndani,nunua muziki mzuri wa gari weka ndani,nunua car perfume weka ndani, nunua plate number weka ndani,nunua jeki na spana ya tairi weka ndani,nunua car carpet weka ndani. Car shampoo weka ndani. Nunua petrol lita kama 100 hivi weka ndani.Then angalia umebaki na tsh ngapi. Usifanye vitu kwa haraka.