nilikuambia nikupe mdingi wangu ukakataa!
ila utapata mama yangu.ila itabidi nimkague kwanza asije kukutesa bure.sitakubali .i love u with all my heart!
hata mimi nimechoka kulala peke yangu nakuogopa usiku wa manane.nimechoka kuishi alone kama mwanga.sitaki tena kwa kweliHaaaa
Unajua muda ndo unaosema
............. kukagua ni muhimu sana my baby.
Asante kwa maushauri yako.
yap nishaamua hivo silali tena peke yangu bana maisha ni haya hayaInabidi uamue tu my dota;
Miaka 13??? Haijaziba?Utani wekeni kando
Huu ni mwaka wa kumi na tatu;
Nalala alone , nimechoka;
Nahitaji mwanaume wa kuwa naye.
Umri miaka 49 na kuendelea.
Vigezo na mashariti?
mhm! bestito utampata aliye wako ila nakushauri
humu watakuchokoza bure jaribu kumwomba Mungu atamleta hapo ulipo
Miaka 13??? Haijaziba?
Kila la kheri mwaego. Ukimkosa usijali, babu niko tayari kukufanya nyumba ndogo. Na hii miaka yangu sitini na ushee, najihisi bado nina nguvu.
Haya weka picha yako tafazali.