Nimechoka Kuota Napaa Usiku

Nimechoka Kuota Napaa Usiku

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,856
Reaction score
4,085
Nimechoka Kuota Napaa Usiku...

Ni mwaka Sasa mara kwa mara nimekuwa naota Napaa angani au kucheza mchezo WA kupaa milimani au angani na kutua vizuri tu bila matatizo yoyote uku nikifurahi

Kuna muda naota Kuna tatizo linatokea na tukiwa sehemu watu wengi na mi pekee nafanikiwa ku escape kwa kupaa uku nikiwaacha wengine wakishindwa kuescape,siku nyingine naota Napaa angani uku nikiwa na furaha sana

Hiyo Ndoto inamaanisha nini kwa wajuzi wa mambo ya Ndoto?
 
Ni ndoto za ushindi fanya tu meditation/ tajahudi fokasi kwenye mishe zako utafanikiwa, jaribu vitu vigumu na hatari utatoboa. Usikae sana na watu bila ishu ya maana, usitoe pesa kwa wanawake wa mtaani.

Fanya mambo yote yenye msingi unayoogopa kama kukutana na matajiri, kuomba tenda, kujilipua na zaidi ya hayo. Ukitumia kilevi hakikisha hulewi chakari itaharibu kumbukumbu zako.

Kama huna gari nunua mapema sana. Nyumba yako iwe na uzio kama ni chumba basi kiwe self contained.
 
Ni ndoto za ushindi fanya tu meditation/ tajahudi fokasi kwenye mishe zako utafanikiwa, jaribu vitu vigumu na hatari utatoboa. Usikae sana na watu bila ishu ya maana, usitoe pesa kwa wanawake wa mtaani.
...
Sayansi ya Mzee Mshana Jr imaonyesha kwamba jamaa soon anaenda kua muhandisi huru wa kujitegemea anaeweza kuendesha ndege isiyokua na matairi
 
Ndoto kama hiyo mwenzio ujue hapo kampokea Yesu,
Kupaa huko ni Mungu anamuonesha jinsi gani ambavyo Neno la Mungu (Kumjua Mungu) limemsaidia kukwepa vikwazo na matatizo katika maisha.
Soma hapa
1:Ukiota unapaa angani
Ndoto ya namna hii ukitaka kuifahamu lazima ujue kwa nini Mungu katumia anga,anga maana yake ni ulimwengu wa nuru ,ardhi ni ulimwengu wa giza ,hivyo ukiota unapaa ni taadhari kutoka kwa Mungu kwamba uache kutembea kwenye ulimwengu wa giza ,hamia ulimwengu wa nuru, nikuhakikishie ukifanya hivyo hutakaa uote tena kupaa sure.
 
Nimechoka Kuota Napaa Usiku...


Ni mwaka Sasa mara kwa mara nimekuwa naota Napaa angani au kucheza mchezo WA kupaa milimani au angani na kutua vizuri tu bila matatizo yoyote uku nikifurahi

Kuna muda naota Kuna tatizo linatokea na tukiwa sehemu watu wengi na mi pekee nafanikiwa ku escape kwa kupaa uku nikiwaacha wengine wakishindwa kuescape,siku nyingine naota Napaa angani uku nikiwa na furaha sana

Iyo Ndoto inamaanisha Nini kwa wajuzi WA mambo ya Ndoto?
no sababu unalala umenyosha miguu mkuu,,, usijidanganye kuw pengine kuna cha ziada,,, siku moja lala umekunja miguu uone kama utapaaa,, hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom