Nimechoka kunyongwa usiku wa manane, tafadhali msaada wa haraka

Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!

mbona hueleweki? Umechoshwa kunyonywa kivipi? Unamtoto mchanga anaependa kunyonya usiku au ndo nini maana sikuelewi bado
 
Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!

Nunua pua ya kitimoto unaweka chini ya mto unavyo lala hili tatizo litakoma
 
Ndugu Apolonary,
Mchangiaji Mwanao ametoa ushauri mzuri lakini inaonetana kama vile hukuona umuhimu wake, na hapo ndipo tatizo lenyewe lilipo. Utaendelea kuteseka mpaka chamoto ukione, hayo mambo ya kulala na biblia hayata kusaidia, Biblia ni kitabu chenye karatasi na wino tuu, kamwe hakiwezi kumtisha shetani bali ukiyaamini na kuyafuata maneno yake hapo ndipo kasheshe yake kwa yule mwovu. Gonga hapa urejee lile bandiko la mwanao ili ulielewe.

Kuna baadhi wameshauri kupunguza kula sana, kwakweli binafsi sioni uhusiano wake na kukabwa kwasababu kwa muda huo unaokuwa unakabwa (usiku wa manane) chakula kinakuwa teyari digested (nikichukulia unakula saa nne usiku).
 
Nyunyizia na maji ya baraka, pamoja na kumwomba Mungu. Ila ukosefu wa hewa ni chanzo kikubwa na uache kushiba sana usiku
 
Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!
Kwanza nikuulize yafuatayo.
mosi, Chakula cha jioniusiku unakula saa ngapi maana wengine mpk sa sita usiku ndo anakula na hapo katokea baa kunywa kitumbo ndi butili asitafute maneno kwa wife anakula tena kimepoa kabisa mudahuo. Wazo: jitahidi uwe unakula mapema sa 12 mpaka sa 2 ww uwe tayri.

na baada ya hapo unafanya nni kabla ya kulala au unaenda straight kitandani? Wazo: Jitahidi ule mapema halafu endelea kufanya shughuli nyingine kaba ya kulala ili ifikapo muda wa kulala walau chakula kimeshakua digested and kimetumika kufanya shughuli zako.

Je unakula vyakula vya aina gani usiku? Wengi tunakula vyakula vyenye asili ya acid mfano maharage, nyama, viazi vya chips,coke amabvyo vyote ni acidic ambayo inaweza kusababisha kiungulia na kuleta hisia ya kukaba wakati mwingine.
Pia usiwe unawaza sana kuhusu tatizo lako wakati mwingine unawazkukabwa the whole ni saikolojia tu usiku utakabwa tu. nikama ukijitisha kua nyuma ya mlango kuna jini eventually utaanza kupata hufo.
Pole sana kwa tatizo lako i hope ushauri huu ni mingine iliyopo inaweza kukusaidia.
 
Pole sana ndugu yangu,hayo ni mapepo.Ningependa kukufahamisha kwamba ni wazi sala zako nimakelele mbele za Mungu,kwakuwa neno la Mungu liko wazi,"SALA ZA MTU MWENYE DHAMBI NI MAKELELE MBELE ZA MUNGU".Unachohitaji wewe ni kukiri wokovu.Tafuta kanisa linalomuamini Mungu wa kweli uongozwe sala ya toba,kwa maana nyingine,uokoke.Matatizo yako yatakwisha kabisa,ila usirudie dhambi tena,na udumu katika wokovu.Ukirudia dhambi neno la Mungu liko wazi,tatizo lako litarudi,na intensity yake itakuwa mara saba kuliko mwanzo.
Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!
 
Pole sana.. Ushauri wangu..weka maisha yako kwenye mikono ya Mwenyezi Mungu kupitia imani au dhehebu lako. Mwangukie Mungu kwa Moyo wako wote na hata ukisali hakikisha unasali toka moyoni na siyo kuimba sala kama shairi. Jenga imani hadi uone unamwomba Mwenyezi Mungu kuwa kama yeye anataka wewe uendelee unyongwe kila siku na iwe hivyo..lakini si kama wewe unavyotaka.

Kama unasali na unayo imani kwa Mungu basi haukuwa na haja ya kuhama ile nyumba ya kwanza. Pia kumbuka kama bado unaamini nyumba ya sasa bado ina mikosi basi hiyo ni dalili ya kuwa imani yako bado ni ndogo...

Endelea kusali kwa dhati na Amini Mungu atakusaidia..otherwise, utaendelea kupigika na kusaga meno..

Juses!
Wape moyo wa kukutambua ya kwmb upo MUNGU wetu wa ukweli!

Tulizo!
Hapo juu umesema na inatosha kbs Kamanda wangu!
Asipokusikia hata sisi tumwambiaeje ni kazi bure!
 
Nadhan Ni Kucheck na aina ya Godoro!! Kama linadidimia sana ni Hatari mwili unakuwa na mis-organization!!
 
Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!

MPWA KWANZA POLE
NAJUA UOGA WE AWAKUNYONGI WANAKUGUSA WAKINYONGA HAO MPWA WALA USINGEKUJA HUKU KUTUTAARIFU NI SAWA NA MAITI KUJA KUANDIKA HUMU JF..KWANZA NAKUPONGEZA MAANA KAMA WAMEKUKOSA KOSA SIKUZOTE WAKAISHIA KUGUSA TU NI WACHACHE WENGI WANAKWENDA NA MAJI
LABDA KWA KUKUSAIDIA TU

NI KWELI SALA NDIO SOLN MUHIMU LAKINI USIFIKIRI KUKAA NA KUJIFUNGIA CHUMBAN UKISALI UNAMALIZA TATIZO NOP...HATA SHETANI HUWA ANASALI NAOMBA NIKUJUZE HILI SWALA UNASALIJE NA JE KABLA YA KUSALI UMEPANGA KUMWOMBA NINI MUNGU.....NA JE BAADA YA KUSALI UKAACHWA ""KUNYONGWA"" UTAMTUMIKIAJE MUNGU
MUNGU HUWA AKAI TU AKAAMUA KUSIKILIZA KILA MAOMBI PENGINE KUNA JAMBO UNAFANYA AMBALO KILA AKIKUSIKIA ANAKU IGONORE SO NI MUHIMU UMEJIANDAAJE KUMTUMIKIA MUNGU UKIACHWA KUNYONGWA WAPO WANAOPITIWA KABISA KINYUME NA MAUMBILE NA USIKU WANAAMKA WAMELOWA NYUMA AINA TOFAUTI NA HIYO NI MUHIMU MSIKIMBILIE TU KUSALI FANYA YAFUATAYO

1..FANYA MAPPING YA FAMILIA YENU JIULIZE AMA ULIZA HATA WAZEE EJE MSHAWAHI KUTOKEWA HILI..NA KAMA NDIO ULIZA SRC PENGINE KUNA MMOJA WENU KWENYE FAMILIA GHATA KAMA SI BABAKO AMA MAMAMKO ALISHAWAHI KUNYONGAA ILE DHAMBI INAWATESA HADI VIZAZI VYA SOMA EZEKIEL...USIONE WANAWAKE WENGINE WANAKUWA MALAYA PAAMOJA NA PESA ZAO UKIANGALIA MAPPING MAMAZAO WALIKUWA NA KAMCHEZO CHA KUMDANGANYA MZEE SO IT PAYS..SISEMI WEWE ILA ANGALIA ALAFU UKIJUA NI KWELI email denismandia@yahoo.com wokovu ni bure kwenda mbinguni ni juhudi
Mengine mengi ntakujuza ukishanijibu hayo
 
muone prof maji marefu au manyaunyau,kuna mtu alikuwa na tatizo kama hilo akasaidiwa.
 
... nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale
Utakufa unasali. Tafuta psychological or medical help.

Waganga-kusali wa hapa wote wachovu, ushawaambia dawa ya kusali haifanyi kazi wanakwambia anza kusali!
 
kula chakula laini usiku,lala kuanzia saa moja baada ya kula chakula cha jioni!
 
Mkuu Apolonary, kabla hujalala hakikisha unapiga angalau msokoto mmoja wa mjani.
'Wakabaji wa usik'u huwa wanogopa sana hiyo kitu, hawatokugusa.
 
Back
Top Bottom