Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Naona wadau wamekupa ushauri mzuri. Nami nisisitize tu:
1. Epuka kula vyakula vizito usiku. Mfano ugali au makande. Kwani digestion yake inakua tabu kwa vile usiku hufanyi shughuli ngumu kama za mchana ambazo husaidia digestion kufanyika haraka.
2. Pia waweza zingatia kula mapema saa 2 usiku ili kuupa mwili muda wa kudigest chakula kabla ya kulala
3. Fanya mazoezi jioni utokapo kwenye mizunguko yako. Hata kwa muda wa nusu saa. Hii itakusaidia mwili kufanya digestion vizuri pindi utakapokula usiku.
4. Jenga mazoea ya kusali kwa Mungu wako. Na hii hisiwe kwasababu ya sasa kuhisi kukabwa usiku,bali iwe tabia yako ya siku zote. Tena kama una familia,msali pamoja na kumwoma Mungu awalinde na kuwapa usiku mwema. Mnapoamka mshukuruni na kumwomba awatangulie katika mizunguko yenu.
Hakika kwa mtindo huo pamoja na kuzingatia namba 1 hadi 3,pamoja na mawazo ya wadau,tatizo lako litaisha.
1. Epuka kula vyakula vizito usiku. Mfano ugali au makande. Kwani digestion yake inakua tabu kwa vile usiku hufanyi shughuli ngumu kama za mchana ambazo husaidia digestion kufanyika haraka.
2. Pia waweza zingatia kula mapema saa 2 usiku ili kuupa mwili muda wa kudigest chakula kabla ya kulala
3. Fanya mazoezi jioni utokapo kwenye mizunguko yako. Hata kwa muda wa nusu saa. Hii itakusaidia mwili kufanya digestion vizuri pindi utakapokula usiku.
4. Jenga mazoea ya kusali kwa Mungu wako. Na hii hisiwe kwasababu ya sasa kuhisi kukabwa usiku,bali iwe tabia yako ya siku zote. Tena kama una familia,msali pamoja na kumwoma Mungu awalinde na kuwapa usiku mwema. Mnapoamka mshukuruni na kumwomba awatangulie katika mizunguko yenu.
Hakika kwa mtindo huo pamoja na kuzingatia namba 1 hadi 3,pamoja na mawazo ya wadau,tatizo lako litaisha.