nunua gari lako..mi napenda sana hiyo hali
Ombea usikae na mmasai, huwa wanarusha mate kutoka upande wa pili then ule udenda unaangukia kwenye mapaja utakoma lazima umpe siti ya dirishani maana maugoro yao huwafanya wanatema mate kama nyoka kupitia ppengo lajino walilong'oa! Chezeya Akwii wewe! Huku zetako huku zemasai!
ila ni kweli inakera sanaHuu usafiri wa daladala ni too much usumbufu, yaani mtu unakaa kwenye siti halafu yule aliyesimama anakuletea makalio yake karibu na pua kwa kweli inakera sana
ila kwenye daladala kuna adha nyingi mno, kuna siku nishwahi kuwekwa mtu kati na mdada mmoja hivi yaani alikua tunaelekeana, basi kwenye bumps yule dada si alikua akinilalia maksudi kabisa ili chakula ya mtoto iwe inanichomachoma kifuani kwangu...
eeeeeennnhhhh!ikawaje sasa....malizia
lolz..duh!!! haya sema yote leo!!
Huwezi kutumia private car kila siku, daladala ndio mkombozi wa walio wengi mama
niazime moja ex wangu.mie mwenyewe nina private car mbili lakini zote nimepaki baada ya kuona kuwa zinanidumaza
hivyo nami nakomaa kwenye madaladala kila mara,
twende sawa tu tutafika kwa kuwa kwenye hayo madaladala tunakaa imezidi sana ni masaa matatu tu.
hivyo nitonye komaa kiume hivyo hivyo.
niazime moja ex wangu.
Mama Ashrat anakusalimia,ndo tunaamka!