Nimechoka kunusa makalio ya watu

Nimechoka kunusa makalio ya watu

nitonye

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2011
Posts
7,349
Reaction score
3,904
Huu usafiri wa daladala ni too much usumbufu, yaani mtu unakaa kwenye siti halafu yule aliyesimama anakuletea makalio yake karibu na pua kwa kweli inakera sana
 
We ni cameroon nn?Mng'ate mkuu
Huu usafiri wa daladala ni too much usumbufu, yaani mtu unakaa kwenye siti halafu yule aliyesimama anakuletea makalio yake karibu na pua kwa kweli inakera sana
 
hahahahaha..... nitonye leo umeua...yananukiaje?......
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kaka waungwana husema, "makalio hata uyasafishe vipi, lakini hayaachi kunuka"...
 
ila kwenye daladala kuna adha nyingi mno, kuna siku nishwahi kuwekwa mtu kati na mdada mmoja hivi yaani alikua tunaelekeana, basi kwenye bumps yule dada si alikua akinilalia maksudi kabisa ili chakula ya mtoto iwe inanichomachoma kifuani kwangu...
 
bac iyo kali xaxa kama yananuka apo ajapumua na akipumua yani itakuwa ........
 
@Ntonye kwanini upate shida why not usinunue la kwako tu.
 
Dah! nimemaliza siku yangu vizuri, off to hit the road naacha gari naenda kudandia daladala I missed ze utamu wa daladala kitambo nikanuse matinya ya watu!
 
ila kwenye daladala kuna adha nyingi mno, kuna siku nishwahi kuwekwa mtu kati na mdada mmoja hivi yaani alikua tunaelekeana, basi kwenye bumps yule dada si alikua akinilalia maksudi kabisa ili chakula ya mtoto iwe inanichomachoma kifuani kwangu...
eeeeeennnhhhh!ikawaje sasa....malizia
 
ndo maana napenda siti za dirishani

Ombea usikae na mmasai, huwa wanarusha mate kutoka upande wa pili then ule udenda unaangukia kwenye mapaja utakoma lazima umpe siti ya dirishani maana maugoro yao huwafanya wanatema mate kama nyoka kupitia ppengo lajino walilong'oa! Chezeya Akwii wewe! Huku zetako huku zemasai!
 
Huu usafiri wa daladala ni too much usumbufu, yaani mtu unakaa kwenye siti halafu yule aliyesimama anakuletea makalio yake karibu na pua kwa kweli inakera sana

mpakate mkuu
 
Hapa nitonye una maanissha nini hasa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom