Hizi ndo shughuli sasa za watoto wa mjini,unakaa mwezi mzima unasubiri 2m alaa hiyo pesa ya mshindo mmoja tu,tunaposema dalali wasidhani kutafutia watu vyumba hapana
Hizi ndo shughuli sasa za watoto wa mjini,unakaa mwezi mzima unasubiri 2m alaa hiyo pesa ya mshindo mmoja tu,tunaposema dalali wasidhani kutafutia watu vyumba hapana
Haya lipia tangazo naona kabisa huu mtego, hii ndoano imerushwa si ajabu mtu akanasa😂 maana nikiwaza lengo la kuweka 2m+ basic na usawa huu, si unataka DM ifurike??
Yaani vijana mna bahati sana kwa sasa maana unaweza kuwa na hela ndefu kama una simu tu 😄
Sisi tunawasaidia watoto wafikie malengo wanayotaka
Mwanangu mmoja anafanya Dropshipping nilim boost kidogo na sasa yuko vizuri ila mimi mzee sasa huwa naitikia tu sijui kinachoendelea 😄
Natoa ushauri na misaada kwa wanangu na kucheza na wajukuu tu