Kama ni muislam..hakikisha unafanya haya kabla ya kulala
1. Weka udhu kama unaenda kusali
2. Soma suratul nnas,falaq na ikhlas mara Tatu Tatu
3.Soma ayatul qursiy
Utalala usingizi nyororo,sio jini wala sheitwan litakalokugusa usiku.
Kama mkristo,,,ngja tusubiri watumishi Wa bwana watakuelekeza!