Nimecheka sana....

Nimecheka sana....

Kila kitu kinakuwa determined by time, hili swali kwanini alipochukua tuzo saba hamkulalamika mi naona huwa linatolewa na watu ambao hawapo smart mentally, Ni ukweli usiofichika kwamba Diamond alichukuwa tuzo 7 kwakuwa alifanya vizuri, bila kupata upinzani 2014, mwaka huu kuna watu wamejithidi kuamka lakini bado hawajamfikia diamond huo ni ukweli usiokuwa na ukakasi. Kwahiyo tulitegemea diamond aendelee kuongoza wengine ndo wafuate kwani uongooooooo! Ila kwakuwa kigezo ni kura let us zip our mouth kwasababu inawezekana kura zetu hazikutosha.

Tuhamie zetu Mtv.... Na kuleee Nigeria yaan leo nikishika Pc ntapiga kura hata milioni 10
 
TZ Hata Kobe anaweza kulazimishwa kupanda juu ya MTI.....[Diamond ana ushawishi kwa Rais JK anaweza kuutumia kumshawishi afumue BASATA na kuiunda upya na baadhi ya mambo yawekwe. 1.Kura zichukue angalau 30% 2.Kuwepo na majaji wasomi wanaojua mziki na hawa watumike pia kupanga Categories. 3.Waongeze kipengele angalau cha msanii mkubwa Africa.

Hapo biashara ndio humaliza kila kitu. Maana kura za watu ndio zinaingiza hela zaidi. Wakifanya kama unavyotaka Barnaba atawaburuza sana
 
Tuhamie zetu Mtv.... Na kuleee Nigeria yaan leo nikishika Pc ntapiga kura hata milioni 10

Hahahaaa utasikia mlipiga kura? Stupid ! Tutalalamika ikiwa hatujapiga kura? Wanatuona sie vichaa au!
 
Hamna kitu kimenifurahisha kama Kusikia ally kiba ni mtunzi bora zaidi ya Barnaba!!!... barnaba anayetunga nyimbo zake, za vanessa mdee pamoja na hii nyimbo inayotamba san ya Ruby...anapitwa na mtunzi wa cheketua...!!!!



ally kiba kuwa mtumbuizaji bora.. Mbele ya Diamond... Kitu ambacho hata kipofu anaona Diamond is the best performer...





ally kiba kuwa mwanamuziki bora wa kiume kwa mwaka 2014... !!!



Mbele ya mshindi wa tunzo za channel o 3 kwa mwaka 2014... Nominee wa Bet na Mtv, mwanamuziki aliyejaza kwenye maonyesho kushinda wote kwa mwaka 2014, mwanamuziki aliyechuma pesa nyingi zaidi mwaka 2014, Mwanamuziki aliyetajwa zaidi kwenye Vyombo vya Habari vya kimataifa na kitaifa, mwanamuziki anayeongoza kwa nyimbo zake kuangaliwa Youtube na vituo vya kitaifa na kimataifa, Mwanamuziki ambaye nyimbo zake (audio)zimekaa kwenye chati za kitaifa na kimataifa kushinda Yeyote yule Tanzania....







Narudia Tena nimechek sana yaani😂😂😂,, maana kuna vitu wanasema res ipsa yaani ... A thing speaks by itself...



hata kama kulazimisha kumpandisha mtu au kutengeneza equilibrium huku sasa kumezidi.... Hamna haja ya kulaumu mtu yeyote cuz ni desturi ya wabongo kulazimisha kumshusha aliye juu... Diamond mjanja ndo maana hakujisumbua kuja kudhalilishwa na yy ally kiba kwa aibu kuona atapokea haramu eti na yeye
hahaha....Noma sana


Peleka tuhuma kwa hawa watu wanaojiita #teamkiba na #teamdiamond , wao Ndo wamefanya hayo mambo
 
Back
Top Bottom