Nimecheka sana....

Nimecheka sana....

TZ Hata Kobe anaweza kulazimishwa kupanda juu ya MTI.....[Diamond ana ushawishi kwa Rais JK anaweza kuutumia kumshawishi afumue BASATA na kuiunda upya na baadhi ya mambo yawekwe. 1.Kura zichukue angalau 30% 2.Kuwepo na majaji wasomi wanaojua mziki na hawa watumike pia kupanga Categories. 3.Waongeze kipengele angalau cha msanii mkubwa Africa.

Mkuu kama vp andaeni tuzo zenu muongeze category zenu na mpige kura.
 
Tuzo hazina maana hizi sababu imeishia kuwapa watu tuzo kiushabiki na sio kutokana na ustahili wao. Ingewezekana hizo tuzo zingefanyiwa kazi na majaji tu ila kuwapa fursa watu kupiga kura kunaonekana kutotoa tuzo kwa uhalali wake
 
Aliwanunua una ushahidi??

Who alleges must prove...

Lets presume aliwanunua hapa bongo kwahiyo London, Dubai , Rwanda, Burundi kote alijaza mafuriko ya watu.. Je na huko alinunua??

Usimalize wino bure kwa team kiba KTM ni matuzo ya walevi
 
Mi Christian Tu loooo,bora wangempa ya utumbuizajiii jamanii,kiba hapo kapendelewa tu
 
uhahahaaaaaaa
qwuiiiiiiiqwiiii
loh hata mimi nacheka
 
ImageUploadedByJamiiForums1434263325.101293.jpg

Sema nn inabidi Hizi tuzo za dai tuzihamishie makumbusho ya Taifa maana ni nyingi kupita kiasi
 
Tuzo hazina maana hizi sababu imeishia kuwapa watu tuzo kiushabiki na sio kutokana na ustahili wao. Ingewezekana hizo tuzo zingefanyiwa kazi na majaji tu ila kuwapa fursa watu kupiga kura kunaonekana kutotoa tuzo kwa uhalali wake

tatizo lao hawataki kujirekebisha .... Kwann wasianzishe mshindani wa hizi Tuzo???
 
Kwani kulikua kuna tuzo ya msanii aliyechuma pesa zaidi au tuzo ya msanii anayejaza mashabiki wengi kwenye tamasha?

Mkuu hapa ndipo utata ulipo
Ni nini mmasharti na vigezo kumpata mshindi?
Kwa KTM inaonekana vigezo ni kura pekee ndio huamia mshindi, na kama hilo ni kweli basi Ali Kiba ana haki yakupata tuzo hizo iwapo kura zake zilikua nyingi Kuliko washindani kwa kila kategori

Tatizo la maamuzi ya kura pekee ndio huleta malala miko kama haya tunayo yaona, kura haiangalii vigezo vingine as long as umekua nominated
Tuzo nyingi kura hubeba asilimia fulani tu ya maamuzi na jopo la majaji wataalamu wanaangalia others factors

Ukiondoa vigezo vya kura kupata mshindi, Chibu amefanya vizuri sana mwaka jana kuliko Ali kiba katika nyanja zote, na ndio maana mwaka huu utaona malalamiko mengi tofauti na mwaka jana

Mwaka jana Chibu ni kama alikua peke yake tu hakuwa na mtu aliyefanya vizuri sana zaidi yake so alipochukua tuzo saba kura na others factor zikawa sawa na ikaonekana ni sahihi na haki yake

Mwaka huu tofauti kidogo, Chibu katengenezewa "mpinzani" ambaye amefanya vizuri kiasi chake, na kwenye kura nyingi zikapigwa kwa Kiba na ameshinda
Sasa shida imekuwa ni vipi kuhusu others factor?
Kweli Kiba ana ubora kuliko Diamond hadi kumzidi tunzo zote hizo?
Jibu ni HAPANA, ila ameshinda kihalali sababu ya vigezo na masharti ya only kura na si kwasababu Kiba ni bora kuliko Diamond
 
Kwani kulikua kuna tuzo ya msanii aliyechuma pesa zaidi au tuzo ya msanii anayejaza mashabiki wengi kwenye tamasha?

Hivyo ni vigezo vya Msanii bora kwa mwaka husika... Huwezi kuwa bora kama huna mafanikio
 
TZ Hata Kobe anaweza kulazimishwa kupanda juu ya MTI.....[Diamond ana ushawishi kwa Rais JK anaweza kuutumia kumshawishi afumue BASATA na kuiunda upya na baadhi ya mambo yawekwe. 1.Kura zichukue angalau 30% 2.Kuwepo na majaji wasomi wanaojua mziki na hawa watumike pia kupanga Categories. 3.Waongeze kipengele angalau cha msanii mkubwa Africa.

Hahah nimecheka sana

Hapo kwenye kipengele cha 3 ndiyo kaniua kabisa
 
Mkuu hapa ndipo utata ulipo
Ni nini mmasharti na vigezo kumpata mshindi?
Kwa KTM inaonekana vigezo ni kura pekee ndio huamia mshindi, na kama hilo ni kweli basi Ali Kiba ana haki yakupata tuzo hizo iwapo kura zake zilikua nyingi Kuliko washindani kwa kila kategori

Tatizo la maamuzi ya kura pekee ndio huleta malala miko kama haya tunayo yaona, kura haiangalii vigezo vingine as long as umekua nominated
Tuzo nyingi kura hubeba asilimia fulani tu ya maamuzi na jopo la majaji wataalamu wanaangalia others factors

Ukiondoa vigezo vya kura kupata mshindi, Chibu amefanya vizuri sana mwaka jana kuliko Ali kiba katika nyanja zote, na ndio maana mwaka huu utaona malalamiko mengi tofauti na mwaka jana

Mwaka jana Chibu ni kama alikua peke yake tu hakuwa na mtu aliyefanya vizuri sana zaidi yake so alipochukua tuzo saba kura na others factor zikawa sawa na ikaonekana ni sahihi na haki yake

Mwaka huu tofauti kidogo, Chibu katengenezewa "mpinzani" ambaye amefanya vizuri kiasi chake, na kwenye kura nyingi zikapigwa kwa Kiba na ameshinda
Sasa shida imekuwa ni vipi kuhusu others factor?
Kweli Kiba ana ubora kuliko Diamond hadi kumzidi tunzo zote hizo?
Jibu ni HAPANA, ila ameshinda kihalali sababu ya vigezo na masharti ya only kura na si kwasababu Kiba ni bora kuliko Diamond
Diamond kamzidi kipi Kiba?acheni unafki!!!
 
Hamna kitu kimenifurahisha kama Kusikia ally kiba ni mtunzi bora zaidi ya Barnaba!!!... barnaba anayetunga nyimbo zake, za vanessa mdee pamoja na hii nyimbo inayotamba san ya Ruby...anapitwa na mtunzi wa cheketua...!!!!



ally kiba kuwa mtumbuizaji bora.. Mbele ya Diamond... Kitu ambacho hata kipofu anaona Diamond is the best performer...





ally kiba kuwa mwanamuziki bora wa kiume kwa mwaka 2014... !!!



Mbele ya mshindi wa tunzo za channel o 3 kwa mwaka 2014... Nominee wa Bet na Mtv, mwanamuziki aliyejaza kwenye maonyesho kushinda wote kwa mwaka 2014, mwanamuziki aliyechuma pesa nyingi zaidi mwaka 2014, Mwanamuziki aliyetajwa zaidi kwenye Vyombo vya Habari vya kimataifa na kitaifa, mwanamuziki anayeongoza kwa nyimbo zake kuangaliwa Youtube na vituo vya kitaifa na kimataifa, Mwanamuziki ambaye nyimbo zake (audio)zimekaa kwenye chati za kitaifa na kimataifa kushinda Yeyote yule Tanzania....







Narudia Tena nimechek sana yaani😂😂😂,, maana kuna vitu wanasema res ipsa yaani ... A thing speaks by itself...



hata kama kulazimisha kumpandisha mtu au kutengeneza equilibrium huku sasa kumezidi.... Hamna haja ya kulaumu mtu yeyote cuz ni desturi ya wabongo kulazimisha kumshusha aliye juu... Diamond mjanja ndo maana hakujisumbua kuja kudhalilishwa na yy ally kiba kwa aibu kuona atapokea haramu eti na yeye
hahaha....Noma sana

Umemaliza kucheka?

Mwaka daimond alipobeba 7 ulicheka au ulinuna?


Si alichukua utunzi bora mbele ya barnaba ?

Si alichukua wimbo bora mbele ya nyimbo Kali zaidi ya kijimbo kake kile?

Unalazmisha barnba awe mtunzi bora !! Kisa kawatungia watu nyimbo ? Yeye katunga wimbo gani kama solo artist ukatusua kama mwana ya kiba
Na kama sababu kutungiana basi mabeste nampa 100% jamaa anawaandikia sana

Unalazmisha dai awe msanii bora Wa mwaka kisa kachuma pesa nyingi ! Una akili wewe ?


Unalazmisha dai awe best performer !! Hivi anaperfom jukwaani kuliko bella ? Acha uteam msanii wako ajastahili

Alikiba ni msanii aliyestahili ngoma moja ikasumbua vichwa vya walio wengi unataka uifananishe sijui na sisikii ya Jux sijui Rubby !!are you fit mental ?


Yaani ili ucheke sana kwakua kiba kakuuzi chukua step za br janner
Utacheka sana


NB; ulipiga kura? Au unaropoka kama umeibiwa mume !!
 
Back
Top Bottom